Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,189
- 39,954
Kwa sababu ulishagundua tatizo,unatakiwa uanze kujibrand anza kujitolea kwenye magereji tofauti ili kupata ujuziBrother hakuna hyo kitu ..labda Veta huko ila kwa level ya degree hamna hyo kitu.
Afu kwa system yetu ya elimu hii utoke tu from chuo uanze kujiajiri ni ngumu sana na hasa kama ulipitia Advance kama Mimi ,labda kwa wale ambao walianzia diploma .huku Chuo ni madesa tu boss na hata hizo practical training kupata sehemu nzuri ni kazi kweli na uwe na connection.