ME AGAINST JF MEMBERS.

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
3,976
10,203
Home of great thinker. Nimejaribu kujifanyia karesearch kadogo tu na haya ndio niliyoyabaini.
-uenda Mimi ndo member pekee wa Jf nayeishi Tanzania Ila sijawahi fika bongo Dar es salaam
-yawezekana ni Mimi tu humu Jf sijawahi kuvuka boda.
-yawezekana ni Mimi tu humu Jf nayeishi maisha cheap sana maana ninatumia freebasics Ku log in
-wakati wengine wakijadili kuhusu mandinga makali Mimi ndo mwaka huu nafikiria kununua baiskeli.
-yawezekana Mimi ndo member pekee nisiyekuwa na mchepuko humu Jf.

Ila yote heri Ila ukweli na enjoy sana na I'm already addicted to Jamii Forum.
 
Home of great thinker. Nimejaribu kujifanyia karesearch kadogo tu na haya ndio niliyoyabaini.
-uenda Mimi ndo member pekee wa Jf nayeishi Tanzania Ila sijawahi fika bongo Dar es salaam
-yawezekana ni Mimi tu humu Jf sijawahi kuvuka boda.
-yawezekana ni Mimi tu humu Jf nayeishi maisha cheap sana maana ninatumia freebasics Ku log in
-wakati wengine wakijadili kuhusu mandinga makali Mimi ndo mwaka huu nafikiria kununua baiskeli.
-yawezekana Mimi ndo member pekee nisiyekuwa na mchepuko humu Jf.

Ila yote heri Ila ukweli na enjoy sana na I'm already addicted to Jamii Forum.
Bado kabisa kuvunja rekodi

Jr
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom