kitoromondo
Member
- Mar 26, 2017
- 64
- 75
Wana JF,
Naomba kujua kwa wenye ufahamu,
Kuna mdudu hupatikana ndani ya kichwa cha mbuzi, mdudu huyu ni kama jongoo mdogo, nini kazi yake ndani ya kichwa cha mbuzi, huingiaje pale, na itakuaje endapo atakufa kabla ya mbuzi, nini kitampata mbuzi, naamini humu kuna
Wanaofahamu hili kwa undani naomba kuelimika juu ya hili.
Naomba kujua kwa wenye ufahamu,
Kuna mdudu hupatikana ndani ya kichwa cha mbuzi, mdudu huyu ni kama jongoo mdogo, nini kazi yake ndani ya kichwa cha mbuzi, huingiaje pale, na itakuaje endapo atakufa kabla ya mbuzi, nini kitampata mbuzi, naamini humu kuna
Wanaofahamu hili kwa undani naomba kuelimika juu ya hili.