Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
katika miezi takribani saba wasanii wa Nollywood wenye majina makubwa wapatao zaidi ya kumi wameaga dunia...........................na wengi wanajiuliza ni kwa sababu zipi?
Yupo paster mmoja ambaye amedai ya kuwa ni wasanii wa Ghana ndiyo wanawaroga kwa sababu wameshindwa ushindani.........................jisomee makala hiyo yenye kichwa cha khabari.....................Nigerian Pastor: Ghanaian Actors Are Bewitching Nollywood Actors & Actresses And Killing Them. Lakini mitazamo ya pastor huyu inaimarishwa na kifo cha ajali ya gari kilichomkuta msanii mwingine maarufu.............Alasari..............jisomee
Nollywood Mourns Alasari
...................wapo wanaoamini ya kuwa ni vvu ndiyo inawashughulikia lakini kwa kuogopa kushtakiwa kwa kuwachafua majina na huku hawana ushahidi wa kitabibu basi wameishia kuzungumzi dallili zao waathirika hao kabla hawajafa........................jisomee makala hii inayozungumiza kifo cha msanii maarufu Ashley Nwosu...........Ashley Nwosu is Dead.....ya kuwa kabla hajafa alibadilika ngozi na kuwa nyeusi tiiiiiiiii na akiwa hospitalini alikolazwa alishindwa kula hadi ikabidi alishwe kwa mpira kupitia puani..............na nukuu yake halisi ni kama ifuatavyo............."Eye Witnesses said he has been in a critical condition. He could neither eat nor walk and was eventually looking darker than before. He's been fed by a tube inserted through his nose into his stomach.".................................ukweli unabakia ya kuwa kwa msanii mwenye jina kama Ashley Nwosu ainakuwaje kuwa na kigugumizi kuzungumzia kilichomtoa roho na waandishi wanabaki kutaja dalili za ugonjwa tu?
Sam Loco – Another Nollywood Actor Dies
Nollywood Mourns Alasari
Written by Adunola FasuyiSaturday, 26 March 2011
Nollywood is going through another sad period as popular producer cum actor, Ishola Durojaye, better known as Ahmed Alasari, died last Sunday following injuries he sustained in a car accident in company of four of his aides.
Nollywood Star, Madam Geraldine Ekeocha is dead
Nigerian film industry has lost another Nollywood veteran, Mrs Geraldine Ekeocha. The actress died after a fibroid operation in a hospital in Enugu Nigeria. Geraldine Ekeocha has acted in over 80 Nollywood movies including Heavy storm, tears in Marriage and many more.
swali langu linabaki ya kuwa..........................is hiv behind these deaths or not?
Yupo paster mmoja ambaye amedai ya kuwa ni wasanii wa Ghana ndiyo wanawaroga kwa sababu wameshindwa ushindani.........................jisomee makala hiyo yenye kichwa cha khabari.....................Nigerian Pastor: Ghanaian Actors Are Bewitching Nollywood Actors & Actresses And Killing Them. Lakini mitazamo ya pastor huyu inaimarishwa na kifo cha ajali ya gari kilichomkuta msanii mwingine maarufu.............Alasari..............jisomee
Nollywood Mourns Alasari
...................wapo wanaoamini ya kuwa ni vvu ndiyo inawashughulikia lakini kwa kuogopa kushtakiwa kwa kuwachafua majina na huku hawana ushahidi wa kitabibu basi wameishia kuzungumzi dallili zao waathirika hao kabla hawajafa........................jisomee makala hii inayozungumiza kifo cha msanii maarufu Ashley Nwosu...........Ashley Nwosu is Dead.....ya kuwa kabla hajafa alibadilika ngozi na kuwa nyeusi tiiiiiiiii na akiwa hospitalini alikolazwa alishindwa kula hadi ikabidi alishwe kwa mpira kupitia puani..............na nukuu yake halisi ni kama ifuatavyo............."Eye Witnesses said he has been in a critical condition. He could neither eat nor walk and was eventually looking darker than before. He's been fed by a tube inserted through his nose into his stomach.".................................ukweli unabakia ya kuwa kwa msanii mwenye jina kama Ashley Nwosu ainakuwaje kuwa na kigugumizi kuzungumzia kilichomtoa roho na waandishi wanabaki kutaja dalili za ugonjwa tu?
Sam Loco – Another Nollywood Actor Dies
Nollywood Mourns Alasari
Written by Adunola FasuyiSaturday, 26 March 2011
Nollywood is going through another sad period as popular producer cum actor, Ishola Durojaye, better known as Ahmed Alasari, died last Sunday following injuries he sustained in a car accident in company of four of his aides.
Nollywood Star, Madam Geraldine Ekeocha is dead
Nigerian film industry has lost another Nollywood veteran, Mrs Geraldine Ekeocha. The actress died after a fibroid operation in a hospital in Enugu Nigeria. Geraldine Ekeocha has acted in over 80 Nollywood movies including Heavy storm, tears in Marriage and many more.
swali langu linabaki ya kuwa..........................is hiv behind these deaths or not?