mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 899
- 1,761
Well said mkuu, Jiwe kashajipambanua kwa maneno yake mwenyewe kwamba yeye n kichaa, inabidi upinzani nao wapate viongozi vichaa zaidi yake ili mtanange uwe sawa, siasa za ustarabu ilikua kipind cha JkKupambana na hii CCM ambayo sasa hivi inaongozwa na Vichaa (kama alivyotamka Mwenyekiti Taifa), kunahitajika watu ambao wanaweza muda fulani kubadilika na kujifanya nao ni vichaa pia.