Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,563
- 217,866
- Thread starter
- #21
Kamanda ukishaandika hapa jf maana yake ujumbe umefika dunia nzima , Mdude amekwisakusomaMimi binafsi nampenda sana Mdude Nyangali kwa uthubutu wake na kutokuwa muoga. Lakini kupewa udereva wa BAVICHA TAIFA hapana. Hicho cheo inataka watu kama alivyokuwa Heche. Mtu makini lakini sio mwoga, mwenye kuchuja maneno ayasemayo.
Kuongoza chama sio kila wakati ni vita tuu Bali kuna wakati wa kuwa soft kidogo na kujadiliana.
Mdude nafasi kuu ya maamuzi bado hajaweza kuruhusiwa kuipewa, labda zingine kama makamu, katibu wa uenezi nk nk ambazo anaweza kudhibitiwa.
Sina namna ya kuwasiliana naye ningeweza kumshauri vinginevyo. Maana watu aina ya Mdude naye akikosa nafasi hiyo anaweza tena kujikuta kageuka sumu kwa chama chake.
Mdude kama utasoma ujumbe huu ACHANA NA UENYEKITI utumikie chama kwa njia zingine.