Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
- Thread starter
- #41
Sasa kuteswa na polisi inaangukia wapi?..hiyo ni kwenye kesi za jinai.
..kwenye kesi za madai huhitaji polisi wapeleleze.
Sasa kuteswa na polisi inaangukia wapi?..hiyo ni kwenye kesi za jinai.
..kwenye kesi za madai huhitaji polisi wapeleleze.
Kivipi?Namaanisha kumuweka ndani moja kwa moja
Wenda wewe pia ni papa punda , ndo màana unadhibitisha Mdude ni pundaHuyu punda wa ngada nae atulie.
Aliahidi atamnyoa mama kwa kutumia wembe uleule.
Sasa itawasaidia nini hizo mali zote KWA kudhulumu nafs zisizo na hatia na kuwaachia familia na wapendwa huzuni?Hawa Askari wakishafanya unyama huwa wanalipana pesa ndefu. Wamejenga na kufungua maduka
Si kwa kumzushia ugaidi?!... unadhani sio kumnyamazisha for good hii??Kivipi?
Lione linavyojijibu kwenye uzi wake.Acha upumbavu wako
Inaweza kuangukia kwenye jinai, na kwenye madai.Sasa kuteswa na polisi inaangukia wapi?
PolisiTz wanalindana sana...inaweza kuangukia kwenye jinai, na kwenye madai.
..jinai ni kama serikali itaamua kuwashtaki polisi waliotesa.
..madai ni kama aliyeteswa ameamua kufungua kesi ya madai dhidi ya polisi.
Kama umewatMbua si ufungue kesi?
Nilishuhudia mtu akipigwa na askari jeshi ndani ya ofisi ya serikali, alipofariki muuaji alilindwa...Mdude alifungua kesi tangu wakati Magufuli hajafariki.
..alikuwa akilalamika kwamba Tume ya Haki za Binaadamu walikuwa hawampi ushirikiano.
..Na kesi yake ilipangwa kusikilizwa kabla Polisi hawajamkamata na kumfungulia kesi ya madawa ya kulevya.
..Sasa haieleweki kama alivyotoka ameifuatilia kesi yake na imefikia wapi.
PolisiTz wanalindana sana.
Hata sisi watanzania tumetambua kumbe hatuna mahakama ni genge la watu waliojaza madegree vichwani wasio na sifa hata moja.Kesi ya mzee Mbowe inafichua vitu vingi sana ambavyo vilikuwa gizani, Mpaka Sasa katika watu 8 waliotoa ushahidi nimeshawatambua watu wawili walihusika na mateso dhidi yangu.Naendelea kuwakariri vizuri sura na majina yao na nitaendelea kuhudhuria mahakamani ili niwatambue wengineView attachment 2021234
Ukweli utajulikana tu. Kumbuka CIA ilimtaja Makonda angalau ilitumia lugha ya staha kuwa Makonda alihusika kuhujumi haki ya kuishi ya watanzania wakataka Marekani impige stop asikanyaje USA hadi anakufa.Yaani hawa watu wakifuatiliwa vizuri watakuwa ni miongoni mwa wale watesaji na wauaji kisha kuitia miili kwenye viroba.
Alilipwa kiasi gani?!..mahakama iliamua alipwe kutokana na makosa ya polisi.
Ninavyokumbuka mahakama iliamuru alipwe zaidi ya milioni 100.Alilipwa kiasi gani?!