bichwa mtoto
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 274
- 563
Nimefurahi kusikia mtanzania mwenzetu kijana mwenzetu akiwa amepatikana akiwa hai ingawa akiwa amejeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili wake.Na kusema ukweli nilikuwa miongoni mwa watu niliokuwa namuombea sana apatikane akiwa hai au kama ingetokea kwa bahati mbaya hata mwili wake upatikane ili ndugu zake wangeweza kumstiri mahali safi.Ingawa bado hajasema ni kina nani walikuwa wamemteka.
Swali langu ni kuwa endapo atakapo sema ukweli wa mambo je upande wowote kati ya chadema au serikali utakubali kuwajibika.
Kama mnavyo jua uenyekiti wa Mh mbowe ni moja wapo ya mgogoro wa ndani kwa ndani chadema na ikibainika kuwa ndugu mdude alikuwa ni miongini mwa wanaompinga mbowe na hivyo watekaji walikuwa na lengo la kujua ni nani ndani ya chadema anamtumia huyu mdude kuvuruga uenyekiti wake je? Wapinzani wataukubali ukweli huo au watakuja na uongo gani mwingine?.
Swali langu ni kuwa endapo atakapo sema ukweli wa mambo je upande wowote kati ya chadema au serikali utakubali kuwajibika.
Kama mnavyo jua uenyekiti wa Mh mbowe ni moja wapo ya mgogoro wa ndani kwa ndani chadema na ikibainika kuwa ndugu mdude alikuwa ni miongini mwa wanaompinga mbowe na hivyo watekaji walikuwa na lengo la kujua ni nani ndani ya chadema anamtumia huyu mdude kuvuruga uenyekiti wake je? Wapinzani wataukubali ukweli huo au watakuja na uongo gani mwingine?.