Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Asubuhi ya leo, nilileta uzi hapa nikionya kuwa ukimfunga Mbowe, utafanya wapinzani waone hawana tena cha kupoteza kwa kufungwa au kuwekwa mahabusu.
Nilionya kuwa hatua ya kuwaweka ndani inawafanya kuwa majasiri zaidi.
Kabla jua halijazama, Mdude Chadema, aliekaa ndani kwa muda mrefu, jioni hii kaja na tweet yenye maneno tatanishi kumuhusu Mama chanzo kikiwa ni mahojiano aliyoyafanya jana.
Mdude ni kama hajaonja mahabusu na ni wazi hahofii kurudi mahabusu. Hivyo, kuwaweka ndani wapinzani, ni kuwajengea uwezo wa kupambana na si kuwafanya wawe waoga(warudi nyuma).
Nasisitiza, kadri mnavyoendelea kuwaweka ndani, ndvyo mnavyozidi kuwaimarisha, na mkuchukua hatua iliyobaki(siitaji), basi mtajimaliza wenyewe na sijui mtawashughulikia wangapi maana na wao ni wengi kama siafu.
Hii vita CCM mmeshashindwa, kilichobaki ni ku-surrender tu.
Mdude Chadema mmemtengeneza wenyewe, na mnawaongeza wengine kila kukicha.
Lingine msilolijua ni kuwa, wakati mnatumia muda mwingi na nguvu nyingi kupambana na CHADEMA,wenzenu wanawatoa kwenye reli(wako smart kuwazid) na 2025 watawananga majukwaani.
Mnaangamia kwa kukosa maarifa.
Nilionya kuwa hatua ya kuwaweka ndani inawafanya kuwa majasiri zaidi.
Kabla jua halijazama, Mdude Chadema, aliekaa ndani kwa muda mrefu, jioni hii kaja na tweet yenye maneno tatanishi kumuhusu Mama chanzo kikiwa ni mahojiano aliyoyafanya jana.
Mdude ni kama hajaonja mahabusu na ni wazi hahofii kurudi mahabusu. Hivyo, kuwaweka ndani wapinzani, ni kuwajengea uwezo wa kupambana na si kuwafanya wawe waoga(warudi nyuma).
Nasisitiza, kadri mnavyoendelea kuwaweka ndani, ndvyo mnavyozidi kuwaimarisha, na mkuchukua hatua iliyobaki(siitaji), basi mtajimaliza wenyewe na sijui mtawashughulikia wangapi maana na wao ni wengi kama siafu.
Hii vita CCM mmeshashindwa, kilichobaki ni ku-surrender tu.
Mdude Chadema mmemtengeneza wenyewe, na mnawaongeza wengine kila kukicha.
Lingine msilolijua ni kuwa, wakati mnatumia muda mwingi na nguvu nyingi kupambana na CHADEMA,wenzenu wanawatoa kwenye reli(wako smart kuwazid) na 2025 watawananga majukwaani.
Mnaangamia kwa kukosa maarifa.