Kilele9
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 1,452
- 1,091
Mkuu huyo ni wa kumsamehe yeye na Bavichaa wenzake hawajitambuwi Magufuli kawavuruga full doze!
Bohari kuu wanatengeneza madawa au wananunua?
Mkuu huyo ni wa kumsamehe yeye na Bavichaa wenzake hawajitambuwi Magufuli kawavuruga full doze!
Halafu utasikia mtu anasema Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni.
Dawa yenu iko motoni.
Wewe ni kichwa cha nguruweMlitaka ndege inunuliwe kwa mkopo, baadaye mseme deni la taifa limeongezeka, cdm vichwa vya panzi kweli.
Mnanunua ndege kwa pesa taslimu halafu mnaenda kukopa dawa za binadam bohari kuu.Tukiwaambia mnavuta bangi bila malengo mnalalamika hivi baba wa familia unawezaje kununua bia kwa pesa taslimu halafu chakula cha familia unaenda kukopa hulipi madeni mpaka unasitishiwa huduma?
Imetimia sio?Halafu utasikia mtu anasema Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni.
Dawa yenu iko motoni.
sasa huo uhuru uko wapi? na ushatoa vitisho hapoHalafu utasikia mtu anasema Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni.
Dawa yenu iko motoni.
Mteteen ss mbons mpo kimys, mpiga ngumi ukuta........Mdude,tutakutetea daima
Kule insta na fb nimeshindwa kuandika chochote, ila hapa nasema huyu ki.';"chaa ni TEKTA.
inafanana na bohari kuu ya vifaa, serikali ikope tu? mifuko ya huduma za jamii je?Ndo mana hua nasema upinzani hapa nchini ni kundi la kihuni tu.sasa bohari kuu ni ya serikali ya Burundi?au Sudani?
Mpumbavu wewe, what is the difference between ATCL ana MSD OR NSSF?je ni halali kwenda kukopa ktk mashirika ya umma ambayo yanatakiwa yajiendeshe kwa faida ETI na siku hizi watoe gawio serikalini.Watapataje faida kama mnakopa hamlipi?watajiendeshaje,watanunuaje dawa nyingine zikiisha? Think twice mummyBohari kuu ni serikali wewe, acha ujinga! Kwa hiyo serikali inajikopa?
Naona umeshashiba sasa unakunya kwenye sinia humo humo!
Uhuru upo???Halafu utasikia mtu anasema Tanzania hakuna uhuru wa kutoa maoni.
Dawa yenu iko motoni.
Bohari kuu ni serikali wewe, acha ujinga! Kwa hiyo serikali inajikopa?
Naona umeshashiba sasa unakunya kwenye sinia humo humo!