Mdororo wa Uchumi: Landmark Hotels zabadilishwa kuwa hostel

yani mkuu hicho tu kinanifanya niogope kufanya biashara bongo. Uaminifu ni sifuri. Ndugu ndio kabisa ukimuweka akisimamie yani atakupiga panga vbaya sana. Kamwe hatutaendelea tusipoacha hii tabia. Kuna jamaa alimtumia bro wake hiace flan yani wee acha hadi imeharibika jamaa hajaona hata buku na mizinga haishikumpiga. Inakera sometimes nasemaga CCM ipo sahihi tu kutuonea

Woga wako ndio umasikini wako.

Makampuni mengi yameanzishwa Tanzania na mengine yamekuja toka nje and still they are making huge cash.

Cha muhimu ni wewe kuweka control mechanism.

Unampa mtu hiace bila mkataba wa malipo? Imekuwa kazi ya kanisa?

Huwezi kuwa na hoteli kubwa kama Landmark ukashindwa ku-control mapato. Mbona Kempiski, New Afrika, Moven Pick, Holiday Inn wanafanikiwa?
 
wanaocheka ni wapumbavu, jamaa atapiga hela nzuri mno kwa wastani wa vyumba kumi tu hawezi kosa 35mil ndani ya miezi minne sasa ni hela ndogo hio!?

Na piga mahesabu kama ingekuwa inafanya kazi kama hoteli angekuwa anaingiza kiasi gani.
 
slider-landmark-hotel-pool.jpg
 
Itategemea upatikanaji wa wapangaji. Kwa hali ya kipato ilivyo ngumu sasa si watu wengi watapanga kwenye Hostel aghali hivyo. Kwa sababu hiyo 160,000.00 ambayo ni kodi ya mwezi 1 inatosha kabisa kukupatia pango la miezi 3 - 4 maeneo mengine ya Dar.

Sasa mkuu bei si zinapangwa kulingana na location na hadhi ya jengo lenyewe, sitaraji vyumba vilivyokuwa vya hotel ya kisasa ambavyo obvious ni self contained full ventilated with a/c viwe hadhi sawa na vyumba vya nyumba za uswahilini ambavyo ni vidogo na vingine havina hata feni,mazingira machafu n.k!

Mi naimani wapo watakaomudu vyema kabisa kulipia hizo gharama kwa kuwa demand ya hostel bado ni kubwa mno kuliko idadi ya vyumba! Labda kama zile za mtukufu JP ziwe tayari kwa sasa,vinginevyo wateja atapata tu!
 
Usisahau watu wa kodi watakwenda ku re -assess......don't play with a tax man especially in this regime " hapa kazi tu"
ofcourse lazma kodi ilipwe ila logically sidhani kama biashara iliosajiliwa kama hostel itakuwa na makato makubwa sana tofauti na iliosajiliwa kama hoteli!
 
Habari wakuu.
Nimepita maeneo ya Ubungo leo nikapita Landmarks Hotel nikakutana na bango la kubadilishwa kuwa hostel kuanzia September. Kwa hali hii sijui ni akina nani hawataisoma namba.

Nadhani kalenga sana soko la wanafunzi wa Udsm lakini sijajua gharama zake kama zitakuwa affordable, labda watu wa masters au foreigners.
Kafanya uamuzi mzuri sana, maana nilienda hapo year 2010 Hotel inaendeshwa Kinyakyusa balaa ! nilijua hakika ataanguka tuu. Kujenga na kuendesha ni vitu viwili tofauti sana
 
In order to get something you have never had you must do something you have never done.
 
jamaa hotel zake kwenye tripadvisor ziko rated vibaya na hiyo inapelekea kukosa wateja. bila shaka alikuwa na management mbovu.
 
Hizi hoteli zilikuwa zinapta sana tenda za seminars za ofisi za serikali! And now magufuli kaamua kuzisitisha lazima wafunge. Maana wateja wa kulala wale sio kivileee. Seminar ndio zilikuwa zinawatoa
Hiyo Hotel ilimshinda kuendesha zaidi ya miaka 8 iliyopita. Hotel ilikuwa kubwa na wafanyakazi wana under perform. wengi wameajiriwa kindugu na kikabila. Ilikuwa chafu na ipo outdated !
 
yani mkuu hicho tu kinanifanya niogope kufanya biashara bongo. Uaminifu ni sifuri. Ndugu ndio kabisa ukimuweka akisimamie yani atakupiga panga vbaya sana. Kamwe hatutaendelea tusipoacha hii tabia. Kuna jamaa alimtumia bro wake hiace flan yani wee acha hadi imeharibika jamaa hajaona hata buku na mizinga haishikumpiga. Inakera sometimes nasemaga CCM ipo sahihi tu kutuonea
Usiiahi kwa kukariri jombaa
 
hizo hostel hazitakosa wapangaji..

wanafunzi wa kigeni udsm wanateseka sana..

hasa wazungu wa exchange program wanateseka sana uchafu wa halls za udsm inawalazim wapange appartments ambazo bei ni kubwa kuliko hostel za landmark...

bado matajiri karibu wa nchi nzima mabinti zao na vijana wao wanasoma vyuo dar.. hawatashindwa kuwalipia watoto zao 160 kwa mwezi ili waishi mahari salama...

mtoto kasoma feza boys au feza girls anaenda udsm atashindwa vipi kuishi hostel landmark

wahitaji wa hiyo hostel wapo wengi sana na nina uhakika itajaaa haraka sana
 
Aisee walikuwa wanapiga za kutosha mno na kama biashara ilikuwa inawaendea vyema maana haraka haraka naona bei zao ziki range kati ya 130k mpaka somewhere 240k per kichwa,

Cheki bei zake kwa suites tofauti hapa hivi:
Landmark Hotel-Ubungo - Kinondoni

Kwahiyo still jamaa anaingia hasara hata akipangisha kama hosteli. Kwasababu endapo huduma itaanza kuboom inamaana anatakiwa aifanyie ukarabati mkubwa sana. Which hata hiyo hela anayipata haitatosha.

Binafsi, ningeshauri angeifunga.
 
Ni upumbavu kuchekelea matatizo ya watu!kumbuka nawe huko uliko soon utavunjiwa nyumba kwasababu umejenga kwenye hifadhi ya barabara !pia wewe mfanyakazi soon muajiri wako atapunguza wafanyakazi na wewe ni miongoni mwao!
Ninyi mnafikiri ugumu wa maisha ni kwa wapinzani tuu, ndo maana mnakazana wataisoma namna.
Mkikwama mnatafuta misaada tena.
Tuendelee hivohivoo.. Kuisoma namba Kama kauli mbiu yenu...
 
Back
Top Bottom