Okwaaa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,316
- 2,917
Habari za asubuhi wakuu?
Nianze hivi,
Jana nilitoka Mbeya kuja huku Sumbawanga hadi Nkasi, kiukweli safari ilikuwa na changamoto ya nauli nilivutana sana na makonda hadi kudiliki kunitoa nje ya gari si mchezo, kwahiyo nilichelewa kidogo kufika huku Rukwa wilaya ya Nkasi, nikifika kwenye saa nne kasoro usiku.
Baada ya kufika nikaamua nijifukize kwanza ndipo nikaoge nilale maana huwezi jua usalama ulikuwaje wakati nasafiri, kwa hiyo nikafanya kwa tahadhari tu. Na nilijifukiza kwa maji tu bila mchanganyiko wowote.
Sasa leo asubuhi naamka nimekuta mdomo lips ya juu umevimba sanaaaa, utadhani nimepigwa na ngumi ya adabu na hauumi, yani ata nje naogopa kutoka, watu wanaweza kuhisi nilipigana sehemu nikapigwa konde zito au nyuki kaning'ata.
Na hii hali iliwahi nitokea miaka mitatu iliyopita tena lips ya juu ya mdomo ndiyo huwa inavimba.
Sasa wakuu hii inaweza kuwa nini? Na inaashiria nini?
Wajuzi nisaidieni maana nawaza sanaaa.
Nianze hivi,
Jana nilitoka Mbeya kuja huku Sumbawanga hadi Nkasi, kiukweli safari ilikuwa na changamoto ya nauli nilivutana sana na makonda hadi kudiliki kunitoa nje ya gari si mchezo, kwahiyo nilichelewa kidogo kufika huku Rukwa wilaya ya Nkasi, nikifika kwenye saa nne kasoro usiku.
Baada ya kufika nikaamua nijifukize kwanza ndipo nikaoge nilale maana huwezi jua usalama ulikuwaje wakati nasafiri, kwa hiyo nikafanya kwa tahadhari tu. Na nilijifukiza kwa maji tu bila mchanganyiko wowote.
Sasa leo asubuhi naamka nimekuta mdomo lips ya juu umevimba sanaaaa, utadhani nimepigwa na ngumi ya adabu na hauumi, yani ata nje naogopa kutoka, watu wanaweza kuhisi nilipigana sehemu nikapigwa konde zito au nyuki kaning'ata.
Na hii hali iliwahi nitokea miaka mitatu iliyopita tena lips ya juu ya mdomo ndiyo huwa inavimba.
Sasa wakuu hii inaweza kuwa nini? Na inaashiria nini?
Wajuzi nisaidieni maana nawaza sanaaa.