nimesoma na nimeelewa nini kilichoandikwa na nini nilichoandikaMkuu umesoma kilichoandikwa?
Au wewe hujaelewa nilipoandika Sumu
Kwani wewe hujui mbinu mbalimbali anozotumia mwanamke?
Kumbuka sio kila tego atakalokutegea mwanamke ukiwaza kwamba anafanya hivo kwaajili fa shida hiyo bali no hapana!!!
Huenda anafanya hivo akiwa na lengo la pesa,au majaribu mengine
Na huenda hata pesa anapewa na huyo jamaa yake ila na yeye akafanyia mambo yake
Bali ni tamaa yake tu!!!