Mdogo wangu Gerson Msigwa, iheshimishe ofisi uliyopewa...tumia mitandao Kwa maslahi mapana ya utumishi

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,
 
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,
Na kwanini account yake apost vitu vya kiutumishi zaidi kuliko binafsi na badala yake kwanini kusiwe na account ya offisiiiiiiii ili iendendeshwe kiofisi na kufuata taratibu za kiofisi kizazi mpaka kizazi maana msigwa ipo siku atapisha hiyo nyadhifa .. Nani ni bwege sasa kwenye hili hata wewe unaeshadadia uoni umepotea
 
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,
Kwani yupo kwanza maana simsikii kabisa kutoa matamko ya serikali.
 
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,
Pathetic!.

Kurasa hizo zimesajiliwa kwa jina la Gerson Msigwa, na siyo kwa jina la Jamhuri wala serikali.

Ni kurasa binafsi ambazo atahitaji kuzitumia kadri anavyoona yeye inafaa. Ilimradi tu havunji sheria wala kumkosea yetote heshima.

Kuna kurasa maalum za Ikulu mawasiliano, Msemaji Mkuu wa Serikali. Hizo ndizo kurasa maalum zinazotoa taarifa za utekelezaji na mambo mengine.
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,

PS: Jaribu kutumia lugha unayoijua vema.
 
Na kwanini account yake apost vitu vya kiutumishi zaidi kuliko binafsi na badala yake kwanini kusiwe sio na account ya offisiiiiiiii ili iendendeshwe kiofisi na kufuata taratibu za kiofisi kizazi mpaka kizazi maana msigwa ipo siku atapisha hiyo nyadhifa .. Nani ni bwege sasa kwenye hili hata wewe unaeshadadia uoni umepotea
Tatizo wajinga ni wengi; 💀
 
Pathetic!.

Kurasa hizo zimesajiliwa kwa jina la Gerson Msigwa, na siyo kwa jina la Jamhuri wala serikali.

Ni kurasa binafsi ambazo atahitaji kuzitumia kadri anavyoona yeye inafaa. Ilimradi tu havunji sheria wala kumkosea yetote heshima.

Kuna kurasa maalum za Ikulu mawasiliano, Msemaji Mkuu wa Serikali. Hizo ndizo kurasa maalum zinazotoa taarifa za utekelezaji na mambo mengine.


PS: Jaribu kutumia lugha unayoijua vema.
Tatizo wajinga ni wengi💀; wenye akili mtanielewa !
 
Ndugu mtoa mada katika hili hukutafakari vyema kabla ya kupost...... otherwise kuna yaliyojificha moyoni mwako nyuma ya pazia.......

Ukiacha kuwa mtumishi wa umma lakini pia Msigwa ana maisha yake binafsi kama walivyo binadamu wengine....... otherwise angekuwa anapost vitu vya aibu tungesema anaidhalilisha ofisi anayoitumikia na mamlaka iliyomteua.,.....
 
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,
Sasa hapa umeandika nini zaidi ya kumshambulia huyo unaye mtuhumu?

Nini ameandika kwenye acc zake hadi uanze kumsema vibaya?

Tuwekee ushahidi tuone ili nasi tupate pa kuanzia kumkosoa au kumpatia ushauri.

Vinginevyo utakuwa na sababu zako za kumshambulia.
 
Ndugu mtoa mada katika hili hukutafakari vyema kabla ya kupost...... otherwise kuna yaliyojificha moyoni mwako nyuma ya pazia.......

Ukiacha kuwa mtumishi wa umma lakini pia Msigwa ana maisha yake binafsi kama walivyo binadamu wengine....... otherwise angekuwa anapost vitu vya aibu tungesema anaidhalilisha ofisi anayoitumikia na mamlaka iliyomteua.,.....
Ana chuki zake binafsi
 
Ni kweli anaudhi, amekuwa kama katibu muenezi na sio msemaji Mkuu wa serekali
 
Binafsi namuona huyu jamaa toka Magu afariki ni kama nae hayuko sawa hivi, vitu anavyopost ni utoto mtupu.haviendani na mtu mwenye hadhi yake kabisa.

Screenshot_20211221-072110_Facebook.jpg


Screenshot_20211221-071549_Facebook.jpg


Screenshot_20211221-071918_Facebook.jpg


Screenshot_20211221-071947_Facebook.jpg
 
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,

You must be pursuing a childish vendetta against him. Hizo zingekuwa accounts za taasisi angehama nazo kutoka Ikulu?
 
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,
Mkuu watu wa hovyo, wanapenda hizo tabia za ovyo ovyo tuu. Ukiwa seriously you can't to be with them........ ni lazima ujitoa ufahamu kidgo
 
Ni kweli anaudhi, amekuwa kama katibu muenezi na sio msemaji Mkuu wa serekali
Umeniwahi,
Msemaji mkuu wa serikali ni MTU mkubwa sana na heshima kubwa mno.
Mara nyingi nimekuwa nikimsikia akijibu kipropaganda za kiuenezi wa vyama na kubeza maswali ya waandishi wa habari.
Mfano
Aliulizwa tuandikaje
Rais katoa fedha au serikali imetoa fedha.
Jibu.
Andikeni vyovyote tu.
Mikutano ya siasa kuzuiliwa alijibu si kweli watu wanafanya mikutano waliochaguliwa.
Swali nikajiuliza vyama karibu 15visivyo na waliochaguliwa watafanyia siasa wapi
 
Back
Top Bottom