IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,385
Yani tena na risasi zitamhusu.Watu wametulia tu.Maana kawapiga wengi risasi.Unakumbuka Nape?
WalahiHuu uzi utakua archive nzuri sana, tutakuja tena December 2025 kuufukua panapo majaaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
umeenda mbali sana mkuu , wasukuma nao ni Watanzania, wana haki na wajibu wa kutumikia taifa lao, au wewe unataka wasukuma wasiteuliwe kabisa?Hawa jamaa wanajuwa this time ni wao akina "MAMI". Angalia teuzi zetu utagundua kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo umejifanya wewe ndiyo ISIS? hujui hata kuandika anavyoandikaga ISIS!
Naskia atakua PM zamu ijayoUkipiga maesabu ya mwaka 2013 hadi sasa 2019 utagundua ni kama juzi tu, basi ndivyo ilivyo kwa bwanamkubwa kumaliza muda wake ni keshokutwa tu maana siku hazigandi
Mdogo wangu DAB angalia sana maneno yako kwani anayekupa jeuri mda unakuja atastaafu, mwenzako ana kinga wewe huna kinga, huwezi jua kiongozi ajaye ni nani na anaweza kukuchukulia hatua gani kama akiamua, kwani naamini kuacha maadui wako wa upinzani hata hapo chamani ulipo maadui ulionao ni wengi sana na watu wanakuchora tu.
Maadui zako walio humo humo chamani wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwakuwa wanajua ukaribu wako na anayekubeba ni mkubwa hivyo wanakupa sifa za uwongo ili kulinda ugali wako tu, lakini nakuambia siku itafika hao hao wanaokusifia watakugeuka
Ni vyema mdogo wangu ujifunze kuwa na hekima kwasababu hujui kesho yako, huyo aliyekubeba mgongoni ipo siku atakutua na kukuacha peke yako kama mtoto yatima na hapo ndipo utaiona sayari kama imebadilika rangi, jifunze kukaa kimya mdogo wangu
Jifunze hekima...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maisha baada ya utumishiUkipiga maesabu ya mwaka 2013 hadi sasa 2019 utagundua ni kama juzi tu, basi ndivyo ilivyo kwa bwanamkubwa kumaliza muda wake ni keshokutwa tu maana siku hazigandi
Mdogo wangu DAB angalia sana maneno yako kwani anayekupa jeuri mda unakuja atastaafu, mwenzako ana kinga wewe huna kinga, huwezi jua kiongozi ajaye ni nani na anaweza kukuchukulia hatua gani kama akiamua, kwani naamini kuacha maadui wako wa upinzani hata hapo chamani ulipo maadui ulionao ni wengi sana na watu wanakuchora tu.
Maadui zako walio humo humo chamani wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwakuwa wanajua ukaribu wako na anayekubeba ni mkubwa hivyo wanakupa sifa za uwongo ili kulinda ugali wako tu, lakini nakuambia siku itafika hao hao wanaokusifia watakugeuka
Ni vyema mdogo wangu ujifunze kuwa na hekima kwasababu hujui kesho yako, huyo aliyekubeba mgongoni ipo siku atakutua na kukuacha peke yako kama mtoto yatima na hapo ndipo utaiona sayari kama imebadilika rangi, jifunze kukaa kimya mdogo wangu
Jifunze hekima...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kuna siku nilikaa nikamuwaza huyu bashite na hatma yake baada ya baba yake kuondoka kwakweli niliiogopa siku hiyo!!...jamaa yatakayomfika hataamini kama anafanyiwa mkuu...watu wanahasira naye mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app