Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,008
- 26,318
BASHITE AKIWA RAIS MIMI NAHAMIA MOGADISHU SOMALIAWhat if anaandaliwa kuwa Rais? You never know
Sent using Jamii Forums mobile app
BASHITE AKIWA RAIS MIMI NAHAMIA MOGADISHU SOMALIAWhat if anaandaliwa kuwa Rais? You never know
Wewe humjui jiwe kumbe, hashindwi kumuachia kiti yule atakaendeleza style yake ya uongozi, na kwa nianavyo, mtu mnoko mnoko kama Makonda anaweza kupachikwa hapo.
-Anasisitiza lissu arudi tz akawawakilishe/akatatue changamoto za wapiga kura.
Mkuu BASHITE huwa anafanya mambo as if kama ataendelea kuwa RC wa DAR maisha yake yote na JIWE ataendelea kuwa Rais wa MAISHA
Ili akamalishe Motive yake maana "ilifeli."👆🏻Hapo ndipo panapotia shaka sana, anasisitiza TL arudi Tz yeye kama nani?!!!
Bashite naye atapita tu.He is ZERO brain. Hicho kiti kilikaliwa nawaliomtangulia wengi kama marehemu KANDORO !!!!