Mdogo wangu anapata maumivu makali chini ya kitovu na nyuma kwenye nyonga kama dalili za uchungu Ila ni usiku tu

sherida

Senior Member
Feb 15, 2017
133
194
Habari zenu wakuu ninaomba muongozo nina mdogo wangu ana ujauzito wa wiki 40. Anapata maumivu makali chini ya kitovu na nyuma kwenye nyonga kama dalili za uchungu Ila ni usiku tu.

Halafu hiyo hali inatoweka mchana haimtokei Ila tu kachoka sana na hawezi kutembea mwendo mrefu anadai anapata maumivu na kuhisi kuna kitu kinasukuma .Swali je hatuwezi kwenda kwa Daktari tumuombe amuanzishie maji ya uchungu?

Huu ni uzazi wake wa tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aende hospitali tu wiki 40 anajifungua muda wowote, ni vizuri kuwahi mara tu anapojisikia tofauti
 
Habari zenu Wakuu ninaomba muongozo nina mdogo wangu ana ujauzito wa wiki 40. Anapata maumivu makali chini ya kitovu na nyuma kwenye nyonga Kama dalili za uchungu Ila ni usiku tu.

Alafu hiyo hali inatoweka mchana haimtokei Ila tu kachoka sana na hawezi kutembea mwendo mrefu anadai Anapata maumivu na kuhisi kuna kitu kinasukuma .Swali je hatuwez kwenda kwa Dr tumuombe amuanzishie maji ya uchungu?.

Huu ni uzazi wake wa tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki 40 za ujauzito sio kwamba ameshapitiliza miezi 9 au mimi hesabu zinanichenga.......???????
Ni vizuri mkaenda hospitali msije mkampoteza mama na mtoto kwa wakati mmoja
 
Wiki 40 mmekaa naye nyumban tu?? Mwendeni Hosp ,Hosp yenye kutoa huduma ya Kujifungua kwa Upasuaji.( kuepukana na usumbufu) .


Tartibu zote mtaelezwa huko ...wahini ili Kuokoa Mtoto na Mama.
 
Nashukuru wakuu kwa ushauri leo nimepelekea hospitali cha ajabu ultrasound inasema mimba ni wiki 37 wakati ya mwanzo alivyoanza clinic akiwa na miezi 3 inasema hi ni wiki ya 40 mpaka sasa sijui ipi ni sahihi
Wiki 40 mmekaa naye nyumban tu?? Mwendeni Hosp ,Hosp yenye kutoa huduma ya Kujifungua kwa Upasuaji.( kuepukana na usumbufu) .


Tartibu zote mtaelezwa huko ...wahini ili Kuokoa Mtoto na Mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom