Mdogo wangu anahitaji msaada wa ushauri kuhusiana kozi zifuatazo

Mwemary

JF-Expert Member
May 25, 2016
330
340
Wanajamvi mdogo wangu anahitaji msaada wa ushahuri kuhusiana kozi zifuatazo:
1.Bsc in telecomunication engineering
2.Bsc in soft ware engineering.
3.Bsc in Computer science.
4.Bachelor in public administration.
Ipi ni marketable na anaweza kujiajiri na kupata kazi kwa urahis
 
Wanajamvi mdogo wangu anahitaji msaada wa ushahuri kuhusiana kozi zifuatazo:
1.Bsc in telecomunication engineering
2.Bsc in soft ware engineering.
3.Bsc in Computer science.
4.Bachelor in public administration.
Ipi ni marketable na anaweza kujiajiri na kupata kazi kwa urahis
Weka matokeo ya form six kwanza
 
Na. 3 .... anaweza kuwa na kibanda cha kutengeneza simu kariakoo, mambo ya ma programming... nakadhalika !
 
KAMA AKITAKA AGUSE POTE INSHU ZA IT MWAMBIE AJE ASOME COMPUTER SCIENCE IKO POA SANA ATAGUSA KILA ANGLE YA IT,TENA COMPUTER SCIENCE UDOM AU UDSM KWINGNE MBWEMBWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom