kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,181
- 1,574
Duuuh! Inategemea na kozi, huwezi kusema mtu kapata 2.5 kwenye mechanical ukafananisha na 2.5 ya kwenye lawAlikuwa chuo gani. GPA ya 2.9 ni ndogo ila sio reflection ya uelewa wake na uwezo wake wa kuchanganua mambo. Kwanza ajira zinatolewa kwa GPA ndogo ya hapo, taasisi kubwa ndio zinataka 3.5 na kuendelea