Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #201
Sawa bossHakuna mambo ya kusoma soma hapaa..!!
Sawa bossHakuna mambo ya kusoma soma hapaa..!!
Nimefanikiwa kuhudhulia graduation moja tu ya NBAA (CPA(T))na Yenyewe kwa sababu nilikuwa miongoni mwa wanaopewa zawadi sikujua kwenye graduation ntapewa tu mkono,pesa siku inayofuata,nilikasirika sana maana undergraduate na post graduates sijawahi kuudhulia hizi mishe niliona kupoteza gemu za weekend EPL ni hasara kubwa .Habari za muda huu watanzania wa humu JamiiForums.
Mdogo wangu aliwahi kuniambia, asilimia kubwa ya wahitimu wa elimu ya juu wanaohudhuria "Graduation Ceremony" ni wale wenye GPA za chini. Was he right?
View attachment 1724376
Mwaka wa 2017 nilipata fursa ya kuhudhuria mahafali ya wahitimu wa elimu ya juu pale chuo cha ******** kipo huku Dar. Mimi kama mgeni mualikwa nilienda kuwavisha taji watoto wa mama yangu mdogo na mkubwa (mmoja wa kike na mwingine wa kiume).
Hawa madogo mmoja alisomea Accountancy na mwingine kama sijakosea alisomea masuala ya Ualimu hivi. Sasa siku ile ya maafali nilikuwa niende kwenye mishe zangu Kigamboni ila nikasema ngoja nikawavishe mataji hawa majamaa isije baade wakasema kaka hajui kushirikiana vema na ndugu zake.
Basi muda ulipofika mimi huuyoooo nduki mpaka chuoni kwao nikakuta watu weeengi wakiwa ndugu, jamaa na marafiki wamekuja kwa ajili ya kufurahi na ndugu zao. Ngoja nifupishe story isiwe ndefu saaaaana.
Nilifanikiwa kumvisha taji ndugu yangu mmoja huyu wa kike na kufurahi naye. Tulifurahi sana kunywa na kula ila yule mwingine baada ya kumuuliza kwanini hakuja katika sherehe hizi kuna jibu alinipa.
View attachment 1724390
Jibu alilonipa ni kwamba, "hawezi kuhudhuria "Graduation Ceremony" kwa maana GPA yake ni kubwa mno na kamwe picha za kwenye graduation haziwezi kuambatanishwa katika barua ya maombi ya kazi. Wahitimu wengi wanaopapatikia sherehe za mahafali ni wale wenye GPA za chini".
Je, huyu dogo yupo sahihi au yeye ndio wale watu wanaoitwa "anti-social" (wasiopenda kuchangamana na wenzao)?
Maoni ya wadau
=====
=====
=====
=====
=====
=====
=====
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hahahahaaaa daaah pole sana mkuuMiye za sekondari lkn za chuo zoote nimepita nazo. Weeee siyo kunitesa kule
Ni full kuteseka mkuu. Hakika elimu sio lele mamaMiye za sekondari lkn za chuo zoote nimepita nazo. Weeee siyo kunitesa kule
Hongera sana CPA (T)...Nimefanikiwa kuhudhulia graduation moja tu ya NBAA (CPA(T))na Yenyewe kwa sababu nilikuwa miongoni mwa wanaopewa zawadi sikujua kwenye graduation ntapewa tu mkono,pesa siku inayofuata
Hakuna mambo ya kusoma soma hapaa..!!
2.9 kushuka chiniGPA ndogo inaanzia ngapi?
Tuanzie hapo kwanza mkuu...
Utatunukiwa tunda 🍑🍑 au 😹😹😹😹😹 hahahaKushiriki Graduation ya chuo kikuu ni mojawapo ya kigezo Cha kutunukiwa hivyo usiposhiriki utasubiri mwaka mwingine utashiriki ndipo utatunukiwa.
Ni kweli kabisa mkuu...Mimi mwenyewe nakumbuka siku ya graduation nilikuwa zangu buguruni nauza machungwa...nilisahau kabisa kama kulikuwa na gradu japokuwa nilibomoa GPA ya rekodiSawa mkuu. Dogo alikuwa anaamini wenye GPA kubwa hawanaga papara na sherehe sherehe.