Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Mdogo wake Lowassa naye ni mkubwa?Vifo vya wakubwa vinawaumbua, shit
Mdogo wake Lowassa naye ni mkubwa?Vifo vya wakubwa vinawaumbua, shit
Hivi tunajifukiza na mavi ya TEMBO AUNDULELEAlipata ventilator na vipi kuhusu kujifukiza????
Haya ni yale majina maarufu, Kuna wakina Anna Richard na Fatuma Salehe ambao wanazikwa usiku na municipal.
Inatidha sana, ni kwakua tu humu hatujuani siajabu Kuna wengi wameondoka kwa matatizo ya kupumua.Prof. Ishengoma na wakili nae kafariki usiku wa kuamkia leo.
ndio mkuu
Umepotea dada, ulikuwa wap
Inatidha sana, ni kwakua tu humu hatujuani siajabu Kuna wengi wameondoka kwa matatizo ya kupumua.