TANZIA Mdogo wa Zacharia Hans Pope afariki dunia, ikiwa ni ndani ya wiki ya maombolezo ya kakake

Pole sana Sophia HansPope kwa kuondokewa na Kaka zako. Kumbuka tulikuwa darasa moja pale UDSM kuanzia 1978-1981. Pole sana.
Huu mwaka sidhani hata wazee wangu kama walianza magusiano na teyari nina 30yrs sasa.
Shikamoo mzee wangu.
 
Si kweli, ni connection tu. Jamii ya mashombe ni wafanyabiashara, hwezi kuwakuta jeshini wala Polisi, ni wachache mno.

Ni sawa na kutafuta Muhindi jeshini JWTZ, hawana mzuka huo.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Hata majina nayo huchangia kulainisha mambo!
Hans Pope vs Jalu Matola 😅😅😅
 
Hatari kubwa.

Apumzike kwa amani Eddy Hans Poppe.

Samia, Mpango, na Majaliwa wako busy na uchumi wao huku wakilenga kutukamua kwa tozo na kodi zaidi.

Hivi hata wana mawazo tu, Corona inatuathiri vipi wananchi?

Hivi wanaelewa ni chuki kiasi gani wanajipalia?
Kwani si umechnjwa na pia unavaa barakoa na kujifungia ndani au?
 
Ndio maana waliochanja wana hofu kuliko wasiochanja. Maana si kwakupukutika huku.
Busara za Mungu zituongoze ktk hili
 
Mdogowa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, marehemu Zacharia Hans Poppe aitwaye Eddy Hans Poppe,

View attachment 1946052

(pichani kushoto) amefariki dunia juzi Jumamosi, septemba 18, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.

Msiba huo umetokea ikiwa ni siku 8 tu tangu kaka yake, Zacharia afariki dunia hospitalini hapo wakati akipatiwa matibabu.
Huyo alikua anaumwa mda kabla hata ya Hans
 
Mdogowa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, marehemu Zacharia Hans Poppe aitwaye Eddy Hans Poppe,

View attachment 1946052

(pichani kushoto) amefariki dunia juzi Jumamosi, septemba 18, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.

Msiba huo umetokea ikiwa ni siku 8 tu tangu kaka yake, Zacharia afariki dunia hospitalini hapo wakati akipatiwa matibabu.
Yawezekana Kaka alimuambukiza COVID-19 aliyokuwa nayo na hii pia iwe ni wake up call kwa Ndugu au Watu wengine ambao walikuwa karibu na Marehemu Zachariah Hans Poppe ( alias Mapama )
 
Ni sawa na kusema jamii ya maalbino ni wafanya biashara huwezi kuwakuta kwenye majeshi ya Tz Jwtz,polis au magereza.
Kumbe hujui kuwa majeshi ya Tz hayaajiri watu wenye albinism na kwa sasa hayaajiri kabisa mtu mwenye asili ya nje ya Tz yanaajiri wazawa tu.
Ni mimi tu sijakuelewa au vipi
 
Ninanataka watambue tuna gonjwa la Corona ambalo ni janga la taifa.

Watambue kuna shughuli kutokana na janga hili zimesimama kabisa.

Kwa hiyo si sahihi wala halali wao kuendelea kuwakamua wahanga wa ugonjwa huu kwa kodi na tozo lukuki zilizo boreshwa sana. Kwa maana nyingine ni uovu wao mkubwa uliopitiliza kutokuwa na huruma na wahanga wa ugonjwa huu kiasi cha kuwatelekezea gonjwa na gharama zake za matibabu.

Vipi wewe ni mnufaika katika hawa mnaotukamua hadi damu marehemu sisi tuliosongwa mno na gonjwa hili?
Watambue pia wengi wa wanaofariki sasa ni waliochanja.

Hapa kwetu kuna baba alienda kuchanja akiwa vizuri tu , baada ya chanjo hawezi kuinuka tena, anasema mgongo na nyonga vimeshika.

Poleni wafiwa wote.

Huzuni kubwa sana, kuzika watoto au ndugu wawili kwa muda mfupi hivi.

Let them Rest in Paradise.
 
Watambue pia wengi wa wanaofariki sasa ni waliochanja.

Hapa kwetu kuna baba alienda kuchanja akiwa vizuri tu , baada ya chanjo hawezi kuinuka tena, anasema mgongo na nyonga vimeshika.

Poleni wafiwa wote.

Huzuni kubwa sana, kuzika watoto au ndugu wawili kwa muda mfupi hivi.

Let them Rest in Paradise.

Tuna serikali ya ajabu sana isiyokuwa na utu wala ubinadamu.

Serikali za namna hii asilaumiwe
bwana Doumbouya.
 
Back
Top Bottom