muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,427
- 9,922
Pole nyingi kwa familia.
kumkashfu naniSababu nyingine ni watu kama kina Mbatia wameanza kumkashifu.
Koryo2 mwaka 1978 ulikuwa tayari udsm? Hongera sana baba,umepata chanjo?
Sasa kama mmeambiwa mchanje mnamsikiliza gwajima mnataka huyo majaliwa na samia wawafunge kwa kamba?Hatari kubwa.
Apumzike kwa amani Eddy Hans Poppe.
Samia, Mpango, na Majaliwa wako busy na uchumi wao huku wakilenga kutukamua kwa tozo na kodi zaidi.
Hivi hata wana mawazo tu, Corona inatuathiri vipi wananchi?
Hivi wanaelewa ni chuki kiasi gani wanajipalia?
Siku zote maisha ndio yapo hivyo, jaribu kukaa japo masaa kadhaa kwenye hospitali kubwa kama Amana au Muhimbili na kuzingatia jinsi vile watu wanavyoteseka na maradhi na jinsi wanavyopeteza maisha.Hali siyo nzuri. Hawa ni wale maarufu tunaowasikia.
Sio roho mbaya bali tumekariri kufanikiwa maisha ni kusoma na kuajiriwa, unakuta brother amesoma ameajiriwa kazi nzuri tu ila ana wadogo zake wapo wapo tu hawezi kuwasaidia kwa sababu hawana elimu.Huenda ni kwel mkuu, black tuna ufukara sn sababu ya roho mbaya
Kaacha vingi sana tu vinatamba, hadi leo Ukimwi hauna dawa na watu wanakufa hapo hujazungumzia maradhi mengine.Mungu mbona anaicha Corona inatamba? 😥😥😥
Hivi Tanzania tatizo ni kutokuchanja au kutozingatia taratibu za kujikinga na corona? maana tunasikia wenzetu wanalegeza masharti ya kupambana na corona baada ya kuchanja watu wao kwa wingi ila tulishalegeza masharti kabla ya chanjo halafu ndio tunaona tatizo ni Gwajima.Sasa kama mmeambiwa mchanje mnamsikiliza gwajima mnataka huyo majaliwa na samia wawafunge kwa kamba?
Jiran na Chimala primaryInawezekana maana ukiwachunguza sana historia zao watakuambia wazee wao walitoka wapi
Mfano wkt nko mdg nlikaa chimala mbeya,pale palikuwa maarufu kama kwa mjerumani"mzee charles"alikuwa kama mzungu na qlikuwa diwani,alikuwa mkulima mzuri sana
Kuna siku tuko shambani tulikuwa tumekaa
Wao wanapiga story akawa anasema asili yao ni wayahudi
Ova
Hapana alieko australia ni dada yao sophy ameolewa hukoYah biashara ya lorry alikuwaga inspired na kaka yake mmja yuko Australia aliendaga kitambo
Na alikuwa anafanya kazi za kuendesha malori huko
Ova
Acha lawama kachanjeHatari kubwa.
Apumzike kwa amani Eddy Hans Poppe.
Samia, Mpango, na Majaliwa wako busy na uchumi wao huku wakilenga kutukamua kwa tozo na kodi zaidi.
Hivi hata wana mawazo tu, Corona inatuathiri vipi wananchi?
Hivi wanaelewa ni chuki kiasi gani wanajipalia?
Sasa kama mmeambiwa mchanje mnamsikiliza gwajima mnataka huyo majaliwa na samia wawafunge kwa kamba?