Beatrice Morice
Senior Member
- Jul 12, 2017
- 125
- 232
Nyie kazi hamtaki kufanya mmekalia umalaya tu ,pambaneniKuna vichaa wengi huko Moshi hasa kibosho uru na vunjo na wengi mnawafanya nyie ndugu zao.
Bila kusahau wale wa rombo walevi
Nyie kazi hamtaki kufanya mmekalia umalaya tu ,pambaneniKuna vichaa wengi huko Moshi hasa kibosho uru na vunjo na wengi mnawafanya nyie ndugu zao.
Bila kusahau wale wa rombo walevi
Hahahaha wahaya kwel wajinga jinga ,kwani lazima kila mtu afanye biashara ya hospital jamani embu tulia hukoAcha kujisifia ujinga.
Nitajie hospital moja kubwa inayomilikiwa na mchaga Tena mwanamke mpambanaji Kama huyu Rwechungura.
Unajua unanipotezea muda hapa na wivu wako
Plus Mkuu dispensary yetuRombo yenyewe tu ina hospital nyingi tu kubwa ,mm kwa tarafa yangu tu ya mkuu kuna huruma hospital hii ni kubwa na ni serikali nusu kanisa katoliki nusu kuna kituo cha afya Keni kuna Ngoyoni na nyingine ni vizahanati vidogo dogo kwenye kila kata
Rombo pekee ina hospital tatueti miaka hamsini
Hebu tuanzie hapa.
Wilaya za hai na Rombo zina hospital ngap?
Maana na nyie mmekuwa na misifa Sana siku hiz