Mdhibiti CAG agundua ufisadi wa kutisha Jimboni kwa Spika Ndugai

Chakushangaza kabisa, unakuta kuna ripoti ya kaguzi nyingi tu zimefichwa.
 
Ndugai anasema watu hawaielewi ripoti ya CAG.Cha kushangaza mkewe ana kashfa za ubadhirifu.Ingekuwa enzi za mwenda zake ingekatwa.Eti Mwenyekiti Mbowe muongo,anapotosha,katumwa Ulaya.Juzi kamponda hayati,leo ripoti ijadiliwe kwenye bunge la sasa,Jamani hii ni awamu ya sita.Tuamke,mabilioni kwa mamilioni yameliwa.Wabunge mtakuwa wanafiki na Mwenyezi Mungu Atawalaani ikiwa mtapingana na ripoti ya CAG ili kumridhisha boss wenu Ndungai.
 
Chakushangaza kabisa, unakuta kuna ripoti ya kaguzi nyingi tu zimefichwa.
Tena nyingi sana na hasa sekta ya madini.Madam President tunaamini ataacha uhuru wa vyombo vya habari viandike kwa manufaa ya umma.Namshauri asafishe kote na aanze upya na sera zake bila ya kujali kuingiliwa na wapambe wa awamu ya TANO.
 
Mkuu wa Wilaya CCM, Mkurugenzi CCM, baraza la madiwani CCM, Serikali za vijiji CCM bila shaka hadi mkandarasi ni kada. Imeishia hiyo.
Si nasikia J. N ndiye mkandarasi pekee wa ku supply petroleum kwa halmashauri ya Kongwa⁉️⁉️‼️‼️😤😤
 
Back
Top Bottom