JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,735
- 2,686
Hello wana JF,
Naombeni ufafanuzi wa kisheria juu ya swala hili: Endapo mtu amemdhamini mtu polisi ambae anashikiliwa kwa kesi ya utapeli au wizi wa kuaminika halafu akatoweka na asipatikane kwa zaidi ya miezi 6, 1) Mdhamini anaweza kuhukumiwa kwa kosa lake?
2) Je, naye anaweza kupewa dhamana awe huru aendelee kumtafuta mtuhumiwa aliyemdhamini?
3) Kuna ukomo wa muda wa kumtafuta mtuhumiwa?
Natanguliza shukrani zangu za dhati nikisubiria mchango wenu kutokana na uzoefu, mazoea na sheria inavyosema.
Ahsanteni.
Naombeni ufafanuzi wa kisheria juu ya swala hili: Endapo mtu amemdhamini mtu polisi ambae anashikiliwa kwa kesi ya utapeli au wizi wa kuaminika halafu akatoweka na asipatikane kwa zaidi ya miezi 6, 1) Mdhamini anaweza kuhukumiwa kwa kosa lake?
2) Je, naye anaweza kupewa dhamana awe huru aendelee kumtafuta mtuhumiwa aliyemdhamini?
3) Kuna ukomo wa muda wa kumtafuta mtuhumiwa?
Natanguliza shukrani zangu za dhati nikisubiria mchango wenu kutokana na uzoefu, mazoea na sheria inavyosema.
Ahsanteni.