Mdee na wenzako 18 nendeni mkaipate haki yenu Mahakamani

Hakuna mwanasiasa anaeweza ishi nje ya mshahara. Watasaga tu rhumba
 
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.

Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.

Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.

Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.

Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.

Hawaweza kushinda kwasababu itabidi waeleze barua ya kuwapeleka bungeni nani aliweka signature kama Mnyika anasema hata form hajajaza. Yaani kwa ufupi wanaweza kujitafutia kesi wenyewe
 
Unatumia nini kufikiri?
Labda nikukumbushe tu....

Walimfukuza zito ,sababu ya kua anatoa siri za ndani za chama na imeoneka anauswahiba na kikwete.

Leo mbowe katoka lumande amekutana na samia mala kalibu 3,na hii ya sasa amesema wameongea kalibu saa2 kwenye kikao hicho siku chache kabla ya balaza kuu kuu la chama kukutana.
Lakini tunaona hata mikakati aliyokuja nayo kwenye balaza sio chanya.
Kuna ukakasi mwingi.
Je wemeongea nini kwenye kikao kile yeye na rais kwa mwendo wa saa2.
Na tumeona anawaonya na kuwatisha vb iongozi wake jinsi ya kukosoa yanayoendelea kwenye serkali.
Sasa wewe unaefikili vizuri niambie,,
Siokwamba mwenyekiti huyu sasa analeta uswahiba na rais kama alivyokua zito na kikwete?

Muwe waangalifu chama kitawadodea,kama mwenyekiti kila siku anaitwa ikulu pekeake.
 
Waombe radhi kwa nani?

Mchakato wote ulikuwa wa kihuni inabidi mchakato uanze upya kuwasikiliza kuanzia kamati kuu.
Memory card Yako ndani ya ubongo wako huenda imejaa au imeingiliwa na virus! Nikukumbushe hapa kuwa, kwenye like kikao Cha kwanza kilichofanyika bahari beach waliitwa zaidi ya mara mbili lakini wakapuuzia wito Ile na kikao kilifanya maamuzi na kuacha room ya wao kukata rufaa ambayo walikata na jana rufaa zao zimetolewa maamuzi na kukazia hukumu ya awali!
Kama waliitwa zaidi ya mara mbili na wakapuuzia, huo mchakato mwingine haupo kikanuni. Wamevuna walichopanda na hata wakienda mahakamani chama kitatoa ushahidi wa barua mbili za wito ambazo walizipuuza wakimtegemea ndugai na magufuli kuwalinda! Watulize na watafute biashara nyingine ya kufanya kwani ya ubunge imebuma!
 
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.

Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.

Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.

Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.

Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Kama nyinyi CCM, mnawaona hao kina Mdee ni wanawake wa shoka, kwanini msiwachukue nyinyi CCM Ili wawasaidie Katika mapambano?😁
 
Labda nikukumbushe tu....

Walimfukuza zito ,sababu ya kua anatoa siri za ndani za chama na imeoneka anauswahiba na kikwete.

Leo mbowe katoka lumande amekutana na samia mala kalibu 3,na hii ya sasa amesema wameongea kalibu saa2 kwenye kikao hicho siku chache kabla ya balaza kuu kuu la chama kukutana.
Lakini tunaona hata mikakati aliyokuja nayo kwenye balaza sio chanya.
Kuna ukakasi mwingi.
Je wemeongea nini kwenye kikao kile yeye na rais kwa mwendo wa saa2.
Na tumeona anawaonya na kuwatisha vb iongozi wake jinsi ya kukosoa yanayoendelea kwenye serkali.
Sasa wewe unaefikili vizuri niambie,,
Siokwamba mwenyekiti huyu sasa analeta uswahiba na rais kama alivyokua zito na kikwete?

Muwe waangalifu chama kitawadodea,kama mwenyekiti kila siku anaitwa ikulu pekeake.
Duh! Umeishia darasa la ngapi?

Hata kuandika tu Kiswahili ni matatizo!! Bila shaka hesabu itakuwa ni zero kabisa. Reasoning ni zero. Wewe ni misfit kwenye jukwaa hili. Tafuta majukwaa mengine, hapa ni maalum kwaajili ya wenye uelewa angalao wa kiwango cha chini, ambao wewe hujaufikia.
 
Duh! Umeishia darasa la ngapi?

Hata kuandika tu Kiswahili ni matatizo!! Bila shaka hesabu itakuwa ni zero kabisa. Reasoning ni zero. Wewe ni misfit kwenye jukwaa hili. Tafuta majukwaa mengine, hapa ni maalum kwaajili ya wenye uelewa angalao wa kiwango cha chini, ambao wewe hujaufikia.
Weka hoja yako mkuu....
 
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.

Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.

Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.

Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.

Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Hivi akili yako kubwa anae takiwa kwenda mahakamani ni kina Halima au Chadema na wananchi ndio tuna takiwa kuwashtaki kina Covid 19 kwa kugushi saini za watu na kuhujumu uchumi kwa kuliibia Tqifa?
 
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.

Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.

Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.

Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.

Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. ÆAAQMahakama zetu zitatenda haki.

Huko bungeni wala hakuna anayewezuia kuingia maana walikuwa humo humo, lakini sio wanachama wa cdm tena. Kwahiyo waende mahakamani wasiende hilo watajua wao. Imeisha hiyo.
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.

Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?,

Japo dhulma za aina hii, haziwezi kupata suluhisho la kisheria mahakamani ni kuongeza tuu siku ili kuendelea kuvuta posho, haki ya kweli, inapatikana kupitia karma!. Tena kuna karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Unauma na kupuliza sio??
 
Back
Top Bottom