Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
useless kabisaa, hata haeleweki anasimamia wapi!!mara aponde chadema mara mbowe mara waende mahakamani!Mbona hueleweki? Mara Mbowe, mara mfumko wa bei, mara nendeni mahakamani. Ongea kitu kimoja ueleweke. Isitoshe unawatetea hao ni Wanachama wa CCM yako?
Ndio think tank wa CCM huyuMbona hueleweki? Mara Mbowe, mara mfumko wa bei, mara nendeni mahakamani. Ongea kitu kimoja ueleweke. Isitoshe unawatetea hao ni Wanachama wa CCM yako?
Labda nikukumbushe tu....Unatumia nini kufikiri?
Eti risu, we takatakaMbowe ameamua kuwabomoa hata akina kamanda risu.
Naamini mbowe ni zito au mrema mwingine.
Wasipomtoa uwenyekiti hawawezi kupata matoke chanya.
Hahahahahahahahahahahahaha......Eti risu, we takataka
Memory card Yako ndani ya ubongo wako huenda imejaa au imeingiliwa na virus! Nikukumbushe hapa kuwa, kwenye like kikao Cha kwanza kilichofanyika bahari beach waliitwa zaidi ya mara mbili lakini wakapuuzia wito Ile na kikao kilifanya maamuzi na kuacha room ya wao kukata rufaa ambayo walikata na jana rufaa zao zimetolewa maamuzi na kukazia hukumu ya awali!Waombe radhi kwa nani?
Mchakato wote ulikuwa wa kihuni inabidi mchakato uanze upya kuwasikiliza kuanzia kamati kuu.
Kama nyinyi CCM, mnawaona hao kina Mdee ni wanawake wa shoka, kwanini msiwachukue nyinyi CCM Ili wawasaidie Katika mapambano?😁Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Punguani huyo Teh!kura zimepigwa mbele yao,hakuna mjumbe anayelalamikia maamuzi. Ajabu CCM ndio mnaumia.
Pia unaonekana una shida kichwani,unabwata tu bila hoja. Mara Sabaya, mara haki.
Swali: Eleza jinsi gani kura hazikuwa huru na haki,ikiwa zimepigwa mbele yao
Duh! Umeishia darasa la ngapi?Labda nikukumbushe tu....
Walimfukuza zito ,sababu ya kua anatoa siri za ndani za chama na imeoneka anauswahiba na kikwete.
Leo mbowe katoka lumande amekutana na samia mala kalibu 3,na hii ya sasa amesema wameongea kalibu saa2 kwenye kikao hicho siku chache kabla ya balaza kuu kuu la chama kukutana.
Lakini tunaona hata mikakati aliyokuja nayo kwenye balaza sio chanya.
Kuna ukakasi mwingi.
Je wemeongea nini kwenye kikao kile yeye na rais kwa mwendo wa saa2.
Na tumeona anawaonya na kuwatisha vb iongozi wake jinsi ya kukosoa yanayoendelea kwenye serkali.
Sasa wewe unaefikili vizuri niambie,,
Siokwamba mwenyekiti huyu sasa analeta uswahiba na rais kama alivyokua zito na kikwete?
Muwe waangalifu chama kitawadodea,kama mwenyekiti kila siku anaitwa ikulu pekeake.
Weka hoja yako mkuu....Duh! Umeishia darasa la ngapi?
Hata kuandika tu Kiswahili ni matatizo!! Bila shaka hesabu itakuwa ni zero kabisa. Reasoning ni zero. Wewe ni misfit kwenye jukwaa hili. Tafuta majukwaa mengine, hapa ni maalum kwaajili ya wenye uelewa angalao wa kiwango cha chini, ambao wewe hujaufikia.
Hivi akili yako kubwa anae takiwa kwenda mahakamani ni kina Halima au Chadema na wananchi ndio tuna takiwa kuwashtaki kina Covid 19 kwa kugushi saini za watu na kuhujumu uchumi kwa kuliibia Tqifa?Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. ÆAAQMahakama zetu zitatenda haki.
Unauma na kupuliza sio??Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?,
Japo dhulma za aina hii, haziwezi kupata suluhisho la kisheria mahakamani ni kuongeza tuu siku ili kuendelea kuvuta posho, haki ya kweli, inapatikana kupitia karma!. Tena kuna karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Hebu tuambie ni utaratibu upi haukufuatwa bibie?Hao wataendelea kuwa wabunge wa Chadema, wakienda mahakamani wanashinda mchana kweupe sababu utaratibu wa kuwafukuza ulikuwa wa kihuni haukufata katiba.