Mdee na wenzako 18 nendeni mkaipate haki yenu Mahakamani

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
369
2,514
Wanawake mashujaa wa CHADEMA waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.

Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.

Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya CHADEMA haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.

Baraza Kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.

Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
 
Mbele ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kina Halima Mdee hawana kosa lolote na hivyo Kituo kinachofuata ni Mahakamani kupinga kufukuzwa chama.
 
Katiba inaruhusu mtu kujiamulia kuwa mbunge au kudhamimiwa na chama?. Yani watu wanajikusanya wanapata state finance wanaenda bungeni bila kupitia kwenye chama.
Majina yalipelekwa na Chama.. hukuiona barua iliyosainiwa na katibu mkuu? Wale ni wabunge halali na mahakamani watashinda
 
Mbele ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kina Halima Mdee hawana kosa lolote na hivyo Kituo kinachofuata ni Mahakamani kupinga kufukuzwa chama.
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.

Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?,

Japo dhulma za aina hii, haziwezi kupata suluhisho la kisheria mahakamani ni kuongeza tuu siku ili kuendelea kuvuta posho, haki ya kweli, inapatikana kupitia karma!. Tena kuna karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
 
Naunga mkono hoja; maamuzi yamefanyika bila kuzingatia katiba ya chama na hata katiba ya nchi.

Nina hakika watashinda mahakamani kama ambavyo Zitto Kabwe alishinda

Mara nyingi CHADEMA huwa hawazingatii hata vipengele vya katiba yao linapokuja suala la maamuzi kama haya LAKIN UTASIKIA WANATAKA KATIBA MPYA😀
 
Katiba inaruhusu mtu kujiamulia kuwa mbunge au kudhamimiwa na chama?. Yani watu wanajikusanya wanapata state finance wanaenda bungeni bila kupitia kwenye chama.
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.

Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
 
Mbele ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kina Halima Mdee hawana kosa lolote na hivyo Kituo kinachofuata ni Mahakamani kupinga kufukuzwa chama.
We MÀTAGA,
Hawawezi kwenda mahakamani,mmlaka iliyowapeleka Bungeni haipo,vinginevyo itabidi Ndugai,Mahera na kaijage wakasimame mahakamani,kuonyesha Dispatch ya fomu ya majina ya kina mdee yalivyopokelewa.
 
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?,

Japo dhulma za aina hii, haziwezi kupata suluhisho la kisheria mahakamani ni kuongeza tuu siku ili kuendelea kuvuta posho, haki ya kweli, inapatikana kupitia karma!. Tena kuna karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Imekula kwao..

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja, japo sio kila haki hupatikana mahakamani, haki nyingine ni karma tuu ndio itashughulikia!, tena baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
 
Back
Top Bottom