Mdee na wenzake wanayo kesi ya kujibu, isifanyike mizengwe haki ikapindishwa

Kwanza kabisa kabla sijashusha nondo niweke wazi kuwa mahakimu wengi huwa wanatumia mwanya wa uhuru walionao kisheria kutoa adhabu kupendelea watu.

Ni wazi kuwaa Halima Mdee na wenzake walifanya mkusinyako usio halali na kuleta vurugu na hii ni kinyume na kifungu cha 89 sheria ya adhabu ya Tanzania.

Hivyo kama mtu alifanya kosa hili ni wazi anatakiwa afungwe mwaka mmoja jera, sababu kosa limefanyika mchana. Na mantiki hii Halima Mdee na Esther Bulaya watapoteza ubunge wao walioupata kimazabe. Sababu mbunge akifungwa zaidi ya miezi sita huwa anapoteza ubunge kama ibara ya 67(2)(c) ya katiba ya JMT.

Lakini kwa kuwa mahakama na mahakimu huwa wanatumika kisiasa huenda haki ikapindishwa na kuona watuhumiwa wanapata conditional discharge. Maana mahakimu wa kitanzania hutumiwa na wanasiasa.

My take; hakuna aliye juu ya sheria hapa Tanzania. Kama walifanya vurugu mchana kweupe wapate haki yao inayostahili.
Ndugai ameshasema atawalinda kwa nguvu zake zote kwa hivyo hapana kesi hapo
 
Back
Top Bottom