Mdee na Wenzake leo kumwaga mboga kwenye Baraza Kuu

Terrible Teen

JF-Expert Member
May 1, 2017
920
2,635
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga. Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao. Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama. Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge. Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Aisee uchawa mwingine nikujishushia heshima.Mdee akapenya hadi magerezani within I 24hrs wabunge wateule wakaapishwe.Kwa hiyo Mdee alikuwa na nguvu kuliko Simba wa Yuda.
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Hopeless thread
 
Hiyo orodha ya hao wabunge iliandaliwa wakati gani kama Chadema toka mwanzo walishasema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2020?

Unataka kuwadanganya watu kwamba licha ya Chadema kutoyatambua matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2020, ila walikuwa tayari kupeleka majina ya viti maalum "bungeni"?

Labda nikikumbushe mojawapo ya kauli alizowahi kuzitoa Mdee kuhusu hili suala, alisema; "Tuliamua kupeleka majina bungeni kwasababu hata miaka mingine huwa hatuyatambui matokeo, lakini mwishowe maisha huendelea kama kawaida".

Kuishi kwao kwa mazoea ndiko kulikowaponza hao wanawake, usiwatetee kwa maneno ya uongo.
 
Hiyo orodha ya hao wabunge iliandaliwa wakati gani kama Chadema toka mwanzo walishasema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2020?

Unataka kudanganya watu kwamba licha ya Chadema kutoyatambua matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2020 walikuwa tayari kupeleka majina ya viti maalum?
Tena waliandika barua ikaenda NEC kuwa hawatapeleka wabunge
 
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.

Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.

Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁

Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
 
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.

Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.

Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁

Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
CHADEMA walikuwa na uwezo wa kufuta kesi ilimtu wao ateuliwe kuwa mbunge wa vitimaalum?
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Hujanywa hata chai unaanza kuharisha, Hilo tumbo litabaki na kitu kweli?


Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Mbona hukuongelea uhusika wa jiwe, mahela na ndugai?!!!
 
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.

Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.

Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁

Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
Ulishasema na nani, ndio kusema ushahidi wako ume base kwenye mawazo ya mleta mada kwa evidence zipi. Pua.

Subirini vichawa vyenu vinyolewe ndipo mtakapojua kumbe hamuijui Chadema.
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Like really? Kama Mdee alifanya alichokifanya kwa jinsi unavokisema basi hafai kuwa mwanachama wa chama chochote!
 
Back
Top Bottom