Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

Kitimoto amazing maeneo flani ya TaBaTa
IMG_20180729_205627_406.JPG
 
Nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa pale mbeya MAMA JOHN kuna vibanda walikua wanakaanga hii kitu kiustadi sana...ngoma inakaushwa vema..ndizi inaminywa vizuri inakauka fresh...kakibanda kanamoshi ndani ila unaemjoy sana huku machozi ya kikulenga kwaajili ya moshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom