Mdau Anataka Kuanzisha TV - Iwe na Vipindi Gani?

Sasa mkuu wewe unayekaa kwenye screen ya computer kutumia JF na yule anaye angalia t.v. kujihabarisha mna tofauti gani?

Ndio uwanafalsafa wa Ndio Tulivyo. Unashindwa kutambua kuwa kuangalia TV ni passive activity kwa sababu unachambuliwa kila kitu.

Habari zote zilizopo JF ni za kusoma. Hivyo ubongo unakuwa na activities nyingi za kusoma, ku-filter pumba, kujadili na mambo mengi huyafanyi ukiwa unaangalia TV.

Na kwa sehemu kubwa TV inaangaliwa kwa masaa mengi na masikini.
 
Sasa mkuu wewe unayekaa kwenye screen ya computer kutumia JF na yule anaye angalia t.v. kujihabarisha mna tofauti gani?
Aaaah MwanaFalsafa, hapa JF yeye anawahabarisha watu, na wale wanao angalia TV wanahabarishwa - tofauti kubwa.
Sema huyu anayekusudia kufungua kituo cha TV ndiye hana tofauti na mmiliki wa JF na wala sii Zakumi.. Zakumi na sisi wengine hapa ni host tu wa vipindi vya Usiku JF baada ya kushiba...
 
Ndio uwanafalsafa wa Ndio Tulivyo. Unashindwa kutambua kuwa kuangalia TV ni passive activity kwa sababu unachambuliwa kila kitu.

Habari zote zilizopo JF ni za kusoma. Hivyo ubongo unakuwa na activities nyingi za kusoma, ku-filter pumba, kujadili na mambo mengi huyafanyi ukiwa unaangalia TV.

Na kwa sehemu kubwa TV inaangaliwa kwa masaa mengi na masikini.

Mkuu falsafa ya ndivyo tulivyo kivipi? Ingekua hivyo basi nchi zilizo endelea zisingekua na t.v. na vituo vingi vya t.v.
 
Aaaah MwanaFalsafa, hapa JF yeye anawahabarisha watu, na wale wanao angalia TV wanahabarishwa - tofauti kubwa.
Sema huyu anayekusudia kufungua kituo cha TV ndiye hana tofauti na mmiliki wa JF na wala sii Zakumi.. Zakumi na sisi wengine hapa ni host tu wa vipindi vya Usiku JF baada ya kushiba...

Kwani kila mtu hapa ana habarisha watu mkuu? Wengine wana habarishwa tu. Tena wengine wana habarishwa sehemu nyingine na kuja kubandika hapa so the process is the same na kuangalia t.v. kuhabarishwa na wewe kwenda kuhabarisha wengine. Siyo kila kipindi kwenye t.v. ni time wasting. Remember knowledge/information is power kwa hiyo kuhabarishwa is just as important as kuhabarisha.
 
NI vizuri zaidi iwapo atakuwa akipendelea kutumbuiza kwa miziki ya nyumbani zaidi badala ya ile ya kigeni
 
Kwani kila mtu hapa ana habarisha watu mkuu? Wengine wana habarishwa tu. Tena wengine wana habarishwa sehemu nyingine na kuja kubandika hapa so the process is the same na kuangalia t.v. kuhabarishwa na wewe kwenda kuhabarisha wengine. Siyo kila kipindi kwenye t.v. ni time wasting. Remember knowledge/information is power kwa hiyo kuhabarishwa is just as important as kuhabarisha.

Kubali tu kuwa means ya information ktk forum na kwenye TV ni tofauti. TV ni one way..hapa jamvini unafanya contrasting na kuweza hata kuweka yako na kuwashirikisha wengine your views na kufanya two way means of communication na yenye effect tofauti na Tv.
 
Kubali tu kuwa means ya information ktk forum na kwenye TV ni tofauti. TV ni one way..hapa jamvini unafanya contrasting na kuweza hata kuweka yako na kuwashirikisha wengine your views na kufanya two way means of communication na yenye effect tofauti na Tv.

Kwani nani kakataa? Mimi ninacho sema ni kwamba it is not true kusema kuangalia t.v. ni complete waste of time. Yeye alisema wananchi wengi wa kawaida wana waste time kuangalia t.v. sasa kwani wananchi wangapi wana access ya t.v. as opposed to those with a computer to view JF? Nobody kabisha kuwa JF na t.v. ni tofauti so sijui what point you are trying to make because that point was never in doubt.
 
Kwani nani kakataa? Mimi ninacho sema ni kwamba it is not true kusema kuangalia t.v. ni complete waste of time. Yeye alisema wananchi wengi wa kawaida wana waste time kuangalia t.v. sasa kwani wananchi wangapi wana access ya t.v. as opposed to those with a computer to view JF? Nobody kabisha kuwa JF na t.v. ni tofauti so sijui what point you are trying to make because that point was never in doubt.

Ktk larger picture nakubaliana na mdau. Nakumbuka hiki ndicho alichosema:

Ni Africa pekee mtu anaweza kutazama TV akiwa na njaa

Nilivyomuelewa ni kuwa kuwekeza kwenye TV sio priority ambayo tunaihitaji kwa sasa ktk kuwakomboa the common mwananchi. Na hili ndilo la msingi, mengine nakuachie wewe.
 
Ktk larger picture nakubaliana na mdau. Nakumbuka hiki ndicho alichosema:



Nilivyomuelewa ni kuwa kuwekeza kwenye TV sio priority ambayo tunaihitaji kwa sasa ktk kuwakomboa the common mwananchi. Na hili ndilo la msingi, mengine nakuachie wewe.

Again mkuu sijabisha yote hayo unayo yasema. Mimi ninacho sema ni kwamba hata t.v. ni source muhimu ya information kwa mwananchi. Hiyo ya others kuwa more important than the others sijabisha because sijasema t.v. ndiyo the most important. Ila nimeelewa the point you are making..
 
Ktk larger picture nakubaliana na mdau. Nakumbuka hiki ndicho alichosema:



Nilivyomuelewa ni kuwa kuwekeza kwenye TV sio priority ambayo tunaihitaji kwa sasa ktk kuwakomboa the common mwananchi. Na hili ndilo la msingi, mengine nakuachie wewe.

Hiyo ndio point yangu. Sina pesa na uwezo wa kuanzisha biashara. Lakini kwa maoni yangu imefika wakati wazawa waanze kuinvest kwenye sekta nyingine (period).
 
Inaelekea jamaa ameajiriwa na kazi yenyewe ni jinsi ya kuanzisha TV station, the programs to include and not to......sasa anatafuta nondo JF
 
Back
Top Bottom