Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Wakulu jana nilichelewa kuwaletea habari hii kwakuwa nilibanwa na shughuli nyingi na vikao kemkem.
Kuna taarifa nilizozipata kutoka chanzo cha kuaminika kuwa sasa pesa zilizopitishwa serikalini kwa Ministries, Departmentas and Agencies zinazotegemea serikali kuu kiwango kimeshuka kwa zaidi ya asilimia 40.
Wizara zenye fungu lililooongezeka nji Wizara Ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa na Wizara ya mambo ya Ndani. Hii maana yake nini? Ukizingatia hivi majuzi Serikali imedai kuvuka lengo la makusan yo.
Mwenye kulijua hili kiundani atujuze maana nina hofu na mwelekeo wa Taifa hili kama hali ndiyo hii.
Kuna taarifa nilizozipata kutoka chanzo cha kuaminika kuwa sasa pesa zilizopitishwa serikalini kwa Ministries, Departmentas and Agencies zinazotegemea serikali kuu kiwango kimeshuka kwa zaidi ya asilimia 40.
Wizara zenye fungu lililooongezeka nji Wizara Ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa na Wizara ya mambo ya Ndani. Hii maana yake nini? Ukizingatia hivi majuzi Serikali imedai kuvuka lengo la makusan yo.
Mwenye kulijua hili kiundani atujuze maana nina hofu na mwelekeo wa Taifa hili kama hali ndiyo hii.