Mdai na Mdeni

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Jamaa alikuwa anamdai mshkaji wake, cku ya kulipa ilivyofika jamaa akawa anamkimbia mdeni! Ikaenda hivyo kama mwezi jamaa anazingua kuonekana haonekani! Siku moja kama zali jamaa kakaa sehem akamuona mdeni anapita! Akaanza mfatilizia kwa nyuma afu akampigia simu!
Mdeni: (kwa sauti kubwa) Hallooo...!
Mdai: Halloo habari bwana!
Mdeni: safi tu! Sasa..(kigugumizi!)
Mdai: Vp watoto nyumbani?
Mdeni: (kwa sauti ya kutojiamini)hawajambo!
Mdai: Sasa vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Sikusikii vizuri unasemaa?
Mdai: Vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Ckuckii vizuri nipo kwny boat naelekea znz hapa wimbi zito sana! Ntakupigia!
Mdai: Sawa nami naelekea hukohuko nipo boat ya nyuma hapa ukishuka nisubiri!
Mdeni kugeuka Nyuma anamuona Mdai anampungia mkono! Aibu Niaje!
 
hahaha.imenikumbusha jamaa alikuwa akikwepa deni mda mrefu na hela anazo.wakiwa kwenye mkahawa na anaemdai ghafla wakavamiwa na genge la wahuni na kuambiwa walale chini.wakiwa chini ya meza jamaa anaedaiwa akavuta rundo la pesa na kumpa anaemdai akimwambia oyaa chukua lile deni lako..dah! Ilibidi anaemdai amwambie utanlipa kesho manake alijua wahuni watapita nazo.
 
hahaha.imenikumbusha jamaa alikuwa akikwepa deni mda mrefu na hela anazo.wakiwa kwenye mkahawa na anaemdai ghafla wakavamiwa na genge la wahuni na kuambiwa walale chini.wakiwa chini ya meza jamaa anaedaiwa akavuta rundo la pesa na kumpa anaemdai akimwambia oyaa chukua lile deni lako..dah! Ilibidi anaemdai amwambie utanlipa kesho manake alijua wahuni watapita nazo.

Hiyo hata mimi nisingepokea mkuu maana itakwaje analipe wakati tupo kwenye shari
 
hahaha.imenikumbusha jamaa alikuwa akikwepa deni mda mrefu na hela anazo.wakiwa kwenye mkahawa na anaemdai ghafla wakavamiwa na genge la wahuni na kuambiwa walale chini.wakiwa chini ya meza jamaa anaedaiwa akavuta rundo la pesa na kumpa anaemdai akimwambia oyaa chukua lile deni lako..dah! Ilibidi anaemdai amwambie utanlipa kesho manake alijua wahuni watapita nazo.

Ningemtandika ngumi Moja akizinduka anakuwa amesahau kuwa hela alinipa mimi au alimpa kaka Jambazi.....
 
Jamaa alikuwa anamdai mshkaji wake, cku ya kulipa ilivyofika jamaa akawa anamkimbia mdeni! Ikaenda hivyo kama mwezi jamaa anazingua kuonekana haonekani! Siku moja kama zali jamaa kakaa sehem akamuona mdeni anapita! Akaanza mfatilizia kwa nyuma afu akampigia simu!
Mdeni: (kwa sauti kubwa) Hallooo...!
Mdai: Halloo habari bwana!
Mdeni: safi tu! Sasa..(kigugumizi!)
Mdai: Vp watoto nyumbani?
Mdeni: (kwa sauti ya kutojiamini)hawajambo!
Mdai: Sasa vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Sikusikii vizuri unasemaa?
Mdai: Vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Ckuckii vizuri nipo kwny boat naelekea znz hapa wimbi zito sana! Ntakupigia!
Mdai: Sawa nami naelekea hukohuko nipo boat ya nyuma hapa ukishuka nisubiri!
Mdeni kugeuka Nyuma anamuona Mdai anampungia mkono! Aibu Niaje!
So funny bro!!!!!!!!!!
Haaaa haa haa...........................
 
Back
Top Bottom