Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamaa alikuwa anamdai mshkaji wake, cku ya kulipa ilivyofika jamaa akawa anamkimbia mdeni! Ikaenda hivyo kama mwezi jamaa anazingua kuonekana haonekani! Siku moja kama zali jamaa kakaa sehem akamuona mdeni anapita! Akaanza mfatilizia kwa nyuma afu akampigia simu!
Mdeni: (kwa sauti kubwa) Hallooo...!
Mdai: Halloo habari bwana!
Mdeni: safi tu! Sasa..(kigugumizi!)
Mdai: Vp watoto nyumbani?
Mdeni: (kwa sauti ya kutojiamini)hawajambo!
Mdai: Sasa vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Sikusikii vizuri unasemaa?
Mdai: Vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Ckuckii vizuri nipo kwny boat naelekea znz hapa wimbi zito sana! Ntakupigia!
Mdai: Sawa nami naelekea hukohuko nipo boat ya nyuma hapa ukishuka nisubiri!
Mdeni kugeuka Nyuma anamuona Mdai anampungia mkono! Aibu Niaje!
Mdeni: (kwa sauti kubwa) Hallooo...!
Mdai: Halloo habari bwana!
Mdeni: safi tu! Sasa..(kigugumizi!)
Mdai: Vp watoto nyumbani?
Mdeni: (kwa sauti ya kutojiamini)hawajambo!
Mdai: Sasa vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Sikusikii vizuri unasemaa?
Mdai: Vp kuhusu ule mzigo?
Mdeni: Ckuckii vizuri nipo kwny boat naelekea znz hapa wimbi zito sana! Ntakupigia!
Mdai: Sawa nami naelekea hukohuko nipo boat ya nyuma hapa ukishuka nisubiri!
Mdeni kugeuka Nyuma anamuona Mdai anampungia mkono! Aibu Niaje!