Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kwa sasa hakuna mtu asiejua kwamba tatizo la ajira limekuwa kubwa mno, imefikia kipindi mpaka imekuwa mandatory mtu ujitolee bure kabisa bila kupata mshahara ili tu ujaribu bahati yako ya kuajiriwa kwa experience, Nafasi za kazi zinmekuwa chache sana huku wahitimu kila mwaka wakiwa wanarundikana kwenye kundi la jobless graduates
JE, HALI HII IKIENDELEA TUTEGEMEE YAPI?
JE, HALI HII IKIENDELEA TUTEGEMEE YAPI?