Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Hakuna wasomi hapo, ni mihemko mwanzo mwisho mfano huyu George Kahangwa ni nyumbx wa mangi Mbatiahao UDASA wajinga mchakakato umepelekwa kwa wananchi umejadiliwa wametoa maoni kupitia wawakilishi wao wabunge na baraza LA wawakilishi ambao ni bunge LA katiba wakatoa maamuzi hawa Udasa wanataka kujadili nini wako juu ya wananchi MA bunge la katiba? magufuli umekuwa ukiteua wasomi toka chuo kikuu change DSM hao watakaoshiriki huo mdahalo ambao ni walimu wa chuo kikuu ukiwateua Post yeyote siji tena kutetea chochote cha serikali ya CCM humu. wasomi wanatakiwa kuheshimu maamuzi ya wananchi na mihimili mingine ikiwemo bunge la katiba