Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Hello everybody,
'The Tanzania We Want' iko Jimboni Igunga kwa ajili ya mdahalo na wagombea ubunge wa CCM, CUF na CHADEMA, mdahlo huu hautakuwa live, utakuwa recorded na baadaye kurushwa na Star Tv. siku ya kurushwa kipindi hicho itatajwa baadaye (huenda ikawa Jumapili 25, Sept kuanzia saa 11 mpaka saa 1 usiku.
SOURCE: Tetesi
'The Tanzania We Want' iko Jimboni Igunga kwa ajili ya mdahalo na wagombea ubunge wa CCM, CUF na CHADEMA, mdahlo huu hautakuwa live, utakuwa recorded na baadaye kurushwa na Star Tv. siku ya kurushwa kipindi hicho itatajwa baadaye (huenda ikawa Jumapili 25, Sept kuanzia saa 11 mpaka saa 1 usiku.
SOURCE: Tetesi