ExpertBroker
JF-Expert Member
- Jun 1, 2009
- 454
- 107
Ule mdahalo uliokuwa ufanyike kesho, unafanyika leo ndani ya hotel ya Movenpick, ukumbi wa Kivukoni. Kuanzia saa1 hadi saa3 usiku na kurushwa live kupitia ITV. Kutokana na kuwa short notice, inasemekana hakuna card, kiingilio ni miguu yako na ustaarabu wako.