Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,437
- 1,597
Haya wana jamvi, tarehe 11 Septemba 2011 tena kuna mdahalo wa Muungano wetu na Tanzania Tunayoitaka. Hii ni jumapili tarehe 11 September kuanzia saa 11:00 mpaka saa moja usiku.
Wanaotaka kadi za kuhudhuria mdahalo huu wapige simu namba 0718 607403 (kwa wakazi wa Dar es Salaam) wazungumzaji wakuu wa mdahalo huu ni Mh Tundu Lissu, Juma Duni, Haji Waziri wa Afya Zanzibar na Mohammed Chomboh Mbunge wa Magomeni Zanzibar.
Mdahalo wa Muungano 11 Sept - - YouTube
Source: Star Tv
Wanaotaka kadi za kuhudhuria mdahalo huu wapige simu namba 0718 607403 (kwa wakazi wa Dar es Salaam) wazungumzaji wakuu wa mdahalo huu ni Mh Tundu Lissu, Juma Duni, Haji Waziri wa Afya Zanzibar na Mohammed Chomboh Mbunge wa Magomeni Zanzibar.
Mdahalo wa Muungano 11 Sept - - YouTube
Source: Star Tv