<br />asante sana kwa kuguswa na msiba wa ndugu zetu. that is the tanzania we want bwana! kwa ccm wazanzibar wana thamani wakati wa uchaguzi tu. wamefanya mauzinduzi yao katikati ya msiba wa wenzao.
<br />Nasikia mzee wa tabasamu kaahirisha safari ya nje kwa mara ya kwanza pia. Hapo nampa 5 japo bado nitamquestion kwa hilo hilo. Wasi wasi wangu ni kwamba Jk mdini sana. Lukansola hongereni kwa kulitambua hilo.