Kuna ucheleweshwaji wa muda kidogo bado mpaka sasa mtoa mada hajajulikana na mgeni rasmi bado hajaingia ukumbini. Mada kuu tajwa ni "UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU NA KATIBA MPYA" Je wadau kama nitapata fursa, ni maswali gani ya msingi niulize kwa niaba ya wale wote ambao hawajatata nafasi ya kuhudhuria mahali hapa.
Mwendesha mdaharo ni Paul Mabuga yule mtangazaji wa star tv. Mtoa mada ni profesa Maina toka LHCR. Naomba muwe tayari kwa kuona kwa star tv na radio SAUT.
Naaam mdahalo ndo umeanza: mada kuu ni hz:
1. Rasilimali na katiba mpya.
2. Muungano na katiba mpya.
Mtoa mada ni prof Chris Maina Petter kutoka UDSM/ZLSC pamoja na
Dr. Makulilo wa udsm.
Wazungumzaji wakuu ni Adv Francis kiwanga(mkurugenzi wa LHRC),Adv Harold Sungusia(mkurugenzi wa maboresho ya sheria),Rev. Dr. Charles kitima(makamu mkuu wa chuo SAUT),Prof. Chris Maina,Dr Makulilo
Prof Maina "haki za rasilimali hazipo kwenye katiba,anasema tuliangalie hili kwenye katiba mpya,mikataba yote inayohusu rasilimali iwekwe wazi kwa wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.