Elections 2010 Mdahalo WA JK: WANA CCM TUSAIDIENI KUULIZA MASWALI HAYA

Mtaka Haki

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
492
149
Ninawaomba wana CCM mnaoweka maslahi ya nchi mbele ya Chama mumuulize Mpendwa wetu mgombea wa CCM maswali haya kwa niaba yangu na ya wanachi wengine ili akanushe uvumi unaoenezwa juu yake katika haya yafuatayo.

Maswali ya muhimu.
1. Wapinzani wako wamekuwa wakisema kuwa wewe sio makini na kwa sababu hiyo unaweza kujikuta umesaini jambo hatari kwa taifa. Je kuna ukweli juu ya matukio haya? Kama wewe ni makini na watendaji wako sio makini basi kwa matukio yafuatayo tunaomba utuambie ulichukua hatua gani kuonyesha umakini wako?

a) Ulisaini sheria ya uchaguzi kwa mbwembwe bila ya kuisoma huku ikiwa imechakachuliwa.
b) Ulipokea cheki yenye tarakimu tofauti na maneno kwa shukrani na kukubali kupigwa picha huku ukiionyesha.
C.) Uliwahi kumwita mkurugenzi wa wilaya moja kuja kuchukua gari na alipofika ulikasirika na kushangaa anawezaje kuchukua gari la mkurugenzi mwingine?
d) Ulishangilia kwa makofi riport iliyokuwa ikisomwa mbele yako kuwa shs Bilioni 3 zilitumika kwa matundu ya vyoo vya shule nne kwa matundu manne kila shule kwa gharama ya shs Milioni 700 kwa jumla ya shs Bilioni zaidi ya 3.
e) Uliwainua mikono na kuwaita ni watu safi watuhumiwa wa ufisadi na wengine wakiwa wamefika hata segerea.
f. Ulisaidiwa na serikali ya uingereza kugundua ubadhirifu na wizi wa mabilioni ya Rada na bado mtuhumiwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya maadili ya CCM Taifa.

2. Uliwaahidi waislamu katika ilani ya CCM ya mwaka 2005 kuwa ungewapatia mahakama ya kadhi. Je Kwa kuwa haiko kwenye ilani waislamu watarajie nini?
3. Je ni nini msimamo wako wa Tanzania kujiunga OIC?

NA YALE MTAKAYONIONGEZEA HAPA CHINI TUWAOMBE WANA CCM WENYE KUTANGULIZA MASLAHI YA TAIFA KULIKO YA CHAMA. OBAMA ALIKATAA KUMPIGIA KAMPENI MGOMBEA WA CHAMA CHAKE HUKO Rhode Island kwa kuwa haamini kama ni mfuasi mzuri wa siasa za chama chao.
 
Naomba mniongezee maswali angalao mawili tuwaombe wazalendo watakaokwenda watuwakilishe.
 
KAMENDE AMEPOST JUU YA KUHARIBU UCHAGUZI NAOMBA HILO LIWE PIA NI SWALI LA HAKI LA KUMUULIZA RAISI WETU MPENDWA. Kuna wana CCM wengi kama waliompa taarifa Kamende wanaoweza kutusaidia kumuuliza maswali haya kesho kuondoa utata.
 
Ninawaomba wana CCM mnaoweka maslahi ya nchi mbele ya Chama mumuulize Mpendwa wetu mgombea wa CCM maswali haya kwa niaba yangu na ya wanachi wengine ili akanushe uvumi unaoenezwa juu yake katika haya yafuatayo.

Maswali ya muhimu.
1. Wapinzani wako wamekuwa wakisema kuwa wewe sio makini na kwa sababu hiyo unaweza kujikuta umesaini jambo hatari kwa taifa. Je kuna ukweli juu ya matukio haya? Kama wewe ni makini na watendaji wako sio makini basi kwa matukio yafuatayo tunaomba utuambie ulichukua hatua gani kuonyesha umakini wako?

a) Ulisaini sheria ya uchaguzi kwa mbwembwe bila ya kuisoma huku ikiwa imechakachuliwa.
b) Ulipokea cheki yenye tarakimu tofauti na maneno kwa shukrani na kukubali kupigwa picha huku ukiionyesha.
C.) Uliwahi kumwita mkurugenzi wa wilaya moja kuja kuchukua gari na alipofika ulikasirika na kushangaa anawezaje kuchukua gari la mkurugenzi mwingine?
d) Ulishangilia kwa makofi riport iliyokuwa ikisomwa mbele yako kuwa shs Bilioni 3 zilitumika kwa matundo ya vyoo vya shule nne kwa matundu manne kila shule kwa gharama ya shs Milioni 700 kwa jumla ya shs Bilioni zaidi ya 3.
e) Uliwainua mikono na kuwaita ni watu safi watuhumiwa wa ufisadi na wengine wakiwa wamefika hata segerea.
f. Ulisaidiwa na serikali ya uingereza kugundua ubadhirifu na wizi wa mabilioni ya Rada na bado mtuhumiwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya maadili ya CCM Taifa.

2. Uliwaahidi waislamu katika ilani ya CCM ya mwaka 2005 kuwa ungewapatia mahakama ya kadhi. Je Kwa kuwa haiko kwenye ilani waislamu watarajie nini?
3. Je ni nini msimamo wako wa Tanzania kujiunga OIC?

NA YALE MTAKAYONIONGEZEA HAPA CHINI TUWAOMBE WANA CCM WENYE KUTANGULIZA MASLAHI YA TAIFA KULIKO YA CHAMA. OBAMA ALIKATAA KUMPIGIA KAMPENI MGOMBEA WA CHAMA CHAKE HUKO Rhode Island kwa kuwa haamini kama ni mfuasi mzuri wa siasa za chama chao.
aliahidi nyumba za serikali zilizouzwa kipindi cha mkapa angezirudisha serikalini, hakufanya hivyo, alikwamishwa na nani.
 
hana jeuri ya kujibu maswali hayo,
tatizo hata wakimtengea maswali na majibu bado mkwere ni mkwere hamna kitu
 
Nashukuru Jogi kwa hilo. Labda tuseme kama ulishindwa kurudisha nyumba ulizoahidi na ukashindwa kuwapa waislamu mahakama ya kadhi. Kama ahadi kidogo zilikushinda tutakuaminije kwa ahadi nyingi hivi? Wapinzani wako wanasema eti kwa kuwa ni kipindi chako cha mwisho je wewe unawahakikshiaje watanzania kuwa utatekelezaje? Je kuna Swali lingine la kukosa umakini?
 
Akili anazo kujibu hayo maswali? si mpaka aandikiwe naye asome tu kama Kasuku?
 
Maswali zaidi? Au yanatosha. Natamani angalao moja kati ya haya yaulizwe na yajibiwe. Na kwa kuwa hupewa taarifa hata za hapa basi ajibu tu kwa kutoa humu humu JF.
 
Uwezi kumfananisha na Mchungaji Slaa, huyu ni mapepe kabisa

Slaa hayuko makini kwa sababu:

a - Kaacha mambo ya mungu akakimbilia siasa, nawakati huohuo kondoo wake wanazidi kupotea

b - Kavamia na kuowa mwanamke wa mtu bila kufanya uchunguzi, hii ni hatari kwa mtu kama huyu kumpa madaraka angalau ya kijiji

c - Alikuwa CCM, alipokosa ubunge kaamia chadema kwa ajili ya kujenga mtandao wa kanisa

d - Kavunja sheria ya kikatoliki, kama yeye padiri haruhusiwi kuowa na pia kuacha, yeye mchungaji Slaa kavunja yote.

e - Kakumbatia ukabila na udini ndani ya chama chake, kashindwa kabisa kuvunja mtandao wa cancer ndani ya chadema

f - Hanakisomo na waliomzunguuka kama Mbowe nk. nchi hii haiendeshwi kwa kutumia elimu ya bibilia.

g - na mengineyo

Kumuachia Slaa nchi ni ku- commit suicide !!!!
 
CCM wajanja wenye kuuliza maswali wameishapangwa. mdahalo huo ni geresha. Hapata kuwa na maswali magumu. Maswali yote yatakuwa ni ya kuonyesha kuwa ni mchapa kazi.
 
Kama angekuwa kule kwa Baba (USA) au kwa mama (UK) swali la kwanza lingekuwa mashimo manne ya vyoo alivyojenga wilayani kwake kwa TSH. Bilioni 3. Lapili aelezee kashfa zinazoikumba serikali yake, Latatu kwani hatamki kumaliza Rushwa kwenye Kampeni zake, La nne Je amejiandaaje (Kisaikolojia) kuondoka Ikulu Jumatatu. Latano je amefanikiwa kivipi kupeleka maisha bora kwa kila mtanzania katika miaka 5 ilopita kwa kasi na ari mpya, Je hizo ari na kasi mpya mbona hajazikampeni tena mwaka huu, au ndio ameishafanikiwa? Lasita, Je ameishatoa ahadi ngapi mpaka sasa hivi? akiweza kukumbuka then swali la nyongeza Je serikali yake (kama akichagulia) itahitaji fedha kiasi gani kukamilisha ahadi zake na itapata wapi pesa hizo? Lasaba kwanini kaiachia familia yake imkampenie badala ya kutumia wazee na viongozi wa chama? La nane anamchukilia vipi Dr. Slaa hasa ikizingatiwa kuwa Dr. Slaa anamlipua kwa mabomu ya rushwa n.k?Swali la tisa Je ni wakaazi wangapi wa Kigoma wanatumia safari za ndege za kimataifa mpaka apendelee kujenga uwanja mkubwa wa ndege badala ya kujenga barabara safi za lami viunganishi vya kigoma na Dodoma, Mwanza & Mbeya? Swali la kumi kwanini ameamua kujenga "Dubai" Kigamboni? Pesa itatoka wapi au nani ni mfadhili, je anatambua athari za ujenzi huo? Naona masaa 2 yatakuwa yameisha sasa.

Ila kwa sababu wahandishi watakuwa wale wa TBC, Uhuru/Mzalendo, New Habari, na Daily News atapeta tu, sasa hivi (bila ya shaka) anapitia orodha ya maswali aliyopewa jana jioni.
 
1. Nini maana ya Urais ni suala la kifamilia? 2. Je, katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepitwa na wakati?
 
Ninawaomba wana CCM mnaoweka maslahi ya nchi mbele ya Chama mumuulize Mpendwa wetu mgombea wa CCM maswali haya kwa niaba yangu na ya wanachi wengine ili akanushe uvumi unaoenezwa juu yake katika haya yafuatayo.

Maswali ya muhimu.
1. Wapinzani wako wamekuwa wakisema kuwa wewe sio makini na kwa sababu hiyo unaweza kujikuta umesaini jambo hatari kwa taifa. Je kuna ukweli juu ya matukio haya? Kama wewe ni makini na watendaji wako sio makini basi kwa matukio yafuatayo tunaomba utuambie ulichukua hatua gani kuonyesha umakini wako?

a) Ulisaini sheria ya uchaguzi kwa mbwembwe bila ya kuisoma huku ikiwa imechakachuliwa.
b) Ulipokea cheki yenye tarakimu tofauti na maneno kwa shukrani na kukubali kupigwa picha huku ukiionyesha.
C.) Uliwahi kumwita mkurugenzi wa wilaya moja kuja kuchukua gari na alipofika ulikasirika na kushangaa anawezaje kuchukua gari la mkurugenzi mwingine?
d) Ulishangilia kwa makofi riport iliyokuwa ikisomwa mbele yako kuwa shs Bilioni 3 zilitumika kwa matundu ya vyoo vya shule nne kwa matundu manne kila shule kwa gharama ya shs Milioni 700 kwa jumla ya shs Bilioni zaidi ya 3.
e) Uliwainua mikono na kuwaita ni watu safi watuhumiwa wa ufisadi na wengine wakiwa wamefika hata segerea.
f. Ulisaidiwa na serikali ya uingereza kugundua ubadhirifu na wizi wa mabilioni ya Rada na bado mtuhumiwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya maadili ya CCM Taifa.

2. Uliwaahidi waislamu katika ilani ya CCM ya mwaka 2005 kuwa ungewapatia mahakama ya kadhi. Je Kwa kuwa haiko kwenye ilani waislamu watarajie nini?
3. Je ni nini msimamo wako wa Tanzania kujiunga OIC?

NA YALE MTAKAYONIONGEZEA HAPA CHINI TUWAOMBE WANA CCM WENYE KUTANGULIZA MASLAHI YA TAIFA KULIKO YA CHAMA. OBAMA ALIKATAA KUMPIGIA KAMPENI MGOMBEA WA CHAMA CHAKE HUKO Rhode Island kwa kuwa haamini kama ni mfuasi mzuri wa siasa za chama chao.

Mtaka Haki uko makini sana, nimependa maswali yako!...Itakuwa ni ajabu kama yote ama nusu ya maswali ya aina hii hayataulizwa!
 
Ninawaomba wana CCM mnaoweka maslahi ya nchi mbele ya Chama mumuulize Mpendwa wetu mgombea wa CCM maswali haya kwa niaba yangu na ya wanachi wengine ili akanushe uvumi unaoenezwa juu yake katika haya yafuatayo.

Maswali ya muhimu.
1. Wapinzani wako wamekuwa wakisema kuwa wewe sio makini na kwa sababu hiyo unaweza kujikuta umesaini jambo hatari kwa taifa. Je kuna ukweli juu ya matukio haya? Kama wewe ni makini na watendaji wako sio makini basi kwa matukio yafuatayo tunaomba utuambie ulichukua hatua gani kuonyesha umakini wako?

a) Ulisaini sheria ya uchaguzi kwa mbwembwe bila ya kuisoma huku ikiwa imechakachuliwa.
b) Ulipokea cheki yenye tarakimu tofauti na maneno kwa shukrani na kukubali kupigwa picha huku ukiionyesha.
C.) Uliwahi kumwita mkurugenzi wa wilaya moja kuja kuchukua gari na alipofika ulikasirika na kushangaa anawezaje kuchukua gari la mkurugenzi mwingine?
d) Ulishangilia kwa makofi riport iliyokuwa ikisomwa mbele yako kuwa shs Bilioni 3 zilitumika kwa matundu ya vyoo vya shule nne kwa matundu manne kila shule kwa gharama ya shs Milioni 700 kwa jumla ya shs Bilioni zaidi ya 3.
e) Uliwainua mikono na kuwaita ni watu safi watuhumiwa wa ufisadi na wengine wakiwa wamefika hata segerea.
f. Ulisaidiwa na serikali ya uingereza kugundua ubadhirifu na wizi wa mabilioni ya Rada na bado mtuhumiwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya maadili ya CCM Taifa.

2. Uliwaahidi waislamu katika ilani ya CCM ya mwaka 2005 kuwa ungewapatia mahakama ya kadhi. Je Kwa kuwa haiko kwenye ilani waislamu watarajie nini?
3. Je ni nini msimamo wako wa Tanzania kujiunga OIC?

NA YALE MTAKAYONIONGEZEA HAPA CHINI TUWAOMBE WANA CCM WENYE KUTANGULIZA MASLAHI YA TAIFA KULIKO YA CHAMA. OBAMA ALIKATAA KUMPIGIA KAMPENI MGOMBEA WA CHAMA CHAKE HUKO Rhode Island kwa kuwa haamini kama ni mfuasi mzuri wa siasa za chama chao.
Ahadi ulizotoa mwa huu zina gharama ya TShs. (au USD) ngapi...??
 
Uwezi kumfananisha na Mchungaji Slaa, huyu ni mapepe kabisa

Slaa hayuko makini kwa sababu:

a - Kaacha mambo ya mungu akakimbilia siasa, nawakati huohuo kondoo wake wanazidi kupotea

b - Kavamia na kuowa mwanamke wa mtu bila kufanya uchunguzi, hii ni hatari kwa mtu kama huyu kumpa madaraka angalau ya kijiji

c - Alikuwa CCM, alipokosa ubunge kaamia chadema kwa ajili ya kujenga mtandao wa kanisa

d - Kavunja sheria ya kikatoliki, kama yeye padiri haruhusiwi kuowa na pia kuacha, yeye mchungaji Slaa kavunja yote.

e - Kakumbatia ukabila na udini ndani ya chama chake, kashindwa kabisa kuvunja mtandao wa cancer ndani ya chadema

f - Hanakisomo na waliomzunguuka kama Mbowe nk. nchi hii haiendeshwi kwa kutumia elimu ya bibilia.

g - na mengineyo

Kumuachia Slaa nchi ni ku- commit suicide !!!!
Lazima utakuwa hujaelewa nini muanzisha hii mada anataka..........!!!!
 
aliahidi nyumba za serikali zilizouzwa kipindi cha mkapa angezirudisha serikalini, hakufanya hivyo, alikwamishwa na nani.[/QUOTE]

Naye si alipewa nyumba moja kununua na hapo hapo akaufunga mdomo!!!!
 
mmeshampa madesa sasa, nyinyi mngetuma kwenye private message. Lakini hata hivyo naamini mkwere ni mkwere tu hamna kitu juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom