MM utataka wa-tz wenye asili ya KIHINDI/KIARABU WANGAPI ILI URIDHIKE ROHONI. Lakini OFFICIALLY Tanzania hatuna SIASA YA UBAGUZI wa RANGI, of course Watanzania wenye asili ya Kiarabu na Kihindi hawajakatazwa kugombea nafasi za UBUNGE ama na URAISI (Rostam Aziz je si yupo? Kiongozi wa CUF - Seif je? toka Z'bar tuna chotara wa kihindi/kiarabu kibao ambao ni/ama wamekua WABUNGE/MAWAZIRI. Walipita ndio wengi kabisa).
KURA ndio zinaamua na kujishirikisha kwao kwenye chaguzi ndio kutaamua matokeo ya kuwa na Wahindi ama Waarabu wangapi ktk SIASA. Hata hivyo WILAYANI kwetu VIWANDA vyote kama si CHA MHINDI basi ni MWARABU - unaona mambo yanavyo jibalance
MAHAKIMU Mahakama ya Mwanzo ambaye ana asili ya KIHINDI/KIARABU wakajitokeza kua wengi basi haitapita muda mrefu tutakua na JAJI MKUU wa asili hiyo.
KURA ndio zinaamua na kujishirikisha kwao kwenye chaguzi ndio kutaamua matokeo ya kuwa na Wahindi ama Waarabu wangapi ktk SIASA. Hata hivyo WILAYANI kwetu VIWANDA vyote kama si CHA MHINDI basi ni MWARABU - unaona mambo yanavyo jibalance
MAHAKIMU Mahakama ya Mwanzo ambaye ana asili ya KIHINDI/KIARABU wakajitokeza kua wengi basi haitapita muda mrefu tutakua na JAJI MKUU wa asili hiyo.