Kwa unataka kuueleza Umma kuwa sera za CCM ni nzuri kuliko za chadema ila tu CCM imeangushwa na Watu kama kina Lusinde na wangineo ambao ccm katika mkakati wake wa kufanya mabadiliko ndani ya chama ikiwaondoa na kukirudisha chama mikononi mwa wakulima na wafanyakazi Chadema mtakuwa hamna lenu tenaMM nilikua nakaribia kuanza post hapa kuwaomba wanaJF kwamba tuache kumshambulia bwana Lusinde, badala ya kumshambulia kwa maneno makali makali tunahitaji kumpongeza na pengine kujenga ushawishi ili awe MKURUGENZI WA CAMPAIGN WA CCM KWA 2015.
Baada ya kutafakari niligundua kwamba Lusinde alifanya kazi kubwa sana katika ushindi wa nassari kuliko mwanaCDM yeyote, kuliko hata ile timu ya campaign ya CDM
Ni kweli MM ushindi huu mnono na mtamu umeletwa na CCM!
Kwa unataka kuueleza Umma kuwa sera za CCM ni nzuri kuliko za chadema ila tu CCM imeangushwa na Watu kama kina Lusinde na wangineo ambao ccm katika mkakati wake wa kufanya mabadiliko ndani ya chama ikiwaondoa na kukirudisha chama mikononi mwa wakulima na wafanyakazi Chadema mtakuwa hamna lenu tena
mkuu wangu Mr emmy. Sijui unao uelewa kiasi gani ktk mambo ya siasa! Future ya Tanzania inawahusu Watanzania wote wazalendo bila kujali chama,dini,kabila wala rangi! Kama wewe utakua ni mmoja wa makada wa kutegemewa ktk chama chako basi naanza kuelewa kwanini chama chenu kimeshuka hadhi kwa kiwango cha chini kiasi hiki!Kwanza napenda kutoa pole kwa wana CCM wenzangu kwa kupoteza jimbo letu la Arumeru Mashariki na pia Nakipongeza Chadema kwa ushindi mwembamba walioupata katika jimbo la Arumeru na pia na mpongeza J. Nasari kwa kupewa ridhaa na Wana Arumeru kuwa Mbunge wao ila namatahadharisha 2015 sio mbali kwana CCM tunakwenda kurudisha jimbo letu tulilolipoteza siku ya tarehe 1/04/2012.
Kwa wana CCM wenzangu tunatakiwa kutambua sasa kuwa kila kizazi kinahitaji mapinduzi yake mapya hivyo basi tujipange kuanzisha vuguvugu la mapinduzi mapya kwa kizazi cha sasa ili tuweze kujiamarisha na kuendelea kukubalika kwa wananchi wote wa Tanzania. Kila mapinduzi yana gharama yake tusiogope kufanya maumuzi magumu kwa manufaa ya kizazi kipya cha watanzania na kwa manufaa ya chama.
Wahenga walishasema "Only the wisest and stupidest of men never change." and "Change is the law of life and those who look only to the past or present are certain to miss the future." Wana CCM wenzangu ni muda muafaka wa kubadilika na kuleta mapinduzi mapya katika chama chetu kwa manufaa ya watanzania na wapumbafu wachache wasiokuwa na busara wanatakiwa kutoswa baharini, I mean kuvuliwa uwanachama na kuchukuliwa hatua stahiki.
Naipenda sana CCM yangu cjaona mbadala zaidi yako ila naona wanafiki na wazandiki ndani ya ccm wanaokusaliti na kuwapa nguvu genge la wahuni linatumia vibaya sauti ya Watu hasa vijana kujipatia nguvu, madaraka na matumaini ya kuitawala Tanzania. Sasa muda umefika wa kufanya Mapinduzi mapya kwa kizazi kipya kupitia CCM Mpya
The future of our country belongs to CCM new generation and revulution tuungane pamoja kujenga Taifa letu kupitia CCM mpya
Mkuu Kwa Kifupi Ushindi wa Nasari Haujaletwa na CCM wala CDM bali ni WANA ARUMERU WENYEWE Ambao kwa Pamoja wameamua kuiambia CCM kwamba "You can fool some people some times but you can't fool the people all the time"[/QUOTE said:Ni kweli watu wamechoka ubabaishaji wa serikali hii ya CCM na wamechoka kudanganywa kila siku wakati hakuna lolote linalofanywa zaidi ya viongozi kujitajirisha.
nakubaliana na ww kbs kuwa ushindi wa nassari ni matokeo ya makundi ndani ya ccm. Wanaobeza acha wabeze lkn ukweli ndio huo.
kujua kuwa waliompigia Nasari ni wana CCM NI LAZIMA UWE NA USHAHIDI WA KUTOSHA . HIVI UNA MAANA TURNOUT YA 2010 ILIKUWA 100% HOW ABOUT WALE AMBAO HAWAKWENDA KUPIGA KURA KWA SABABU YOYOTE ILE NA SAFARI HII WAMESHIRKI. HALAFU WALE AMBAO WALISHIRIKI 2010 NA SAFARI HII HAWAKUSHIRIKI? SO YOU MUST ACCUMULATE AMPLE EVIDENCE AND ANALSYED IT TO HAVE A JUSTIFIABLE CONCLUSION OTHERWISE NI LAZIMA UWE NA SUPERNATURAL POWERS KUJUA HILO UPO HAPOhilo ni kweli kabisa kwani huwezi kulazimishwa kumkubali mtu msiyemjua ni ngumu sana kama msipo iba ndicho kilichotokea alumelu..
Kwamba, bila wana CCM Joshua Nassari asingeweza kushinda kiasi kikubwa hivyo; CCM imepata kura pungufu karibu 7000 kulinganisha na 2010 wakati CDM imepata karibu 6000 zaidi kulinganisha na 2010. Idadi ya wapiga kura katika chaguzi zote mbili imetofautiana kwa watu kama 4000 hivi! Ina maana kuna wana CCM walioipigia kura CCM 2010 lakini wakageuka na kupigia CDM safari hii!!
Kwenye mambo ya kampeni wanaita "the x factor".. ndio hao!