Mdahalo mkubwa Kimataifa wa Tundu Lissu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo

Nachojua ni kwamba saa 12 jioni lissu atakuwa ndio anawamalizia ccm pale mwanza. Na mdahalo mnasema ni saa 12. Hii ratiba imekaaje?
 
Kama tangazo hili ni la kweli ni aibu! Nana Addo siyo mtu wa kujadili na Lissu. Addo ana uelewa mkubwa sana wa siasa na uchumi, sijui anaingizwa kwa lengo gani, labda awafundishe wengine.

KWa upande mwingine naona watu wajadili lugha ya kiingereza wakati wanaelewa ktk hao, Ni Lissu ndo mwenye lugha ya hovyo. Kiingereza cha Lissu ni made in Ikungi!

Ndio kusema kitumbua anamcheka andazi?
 
Ndio maana bado naendelea kuwaita WAPUMBAVU., hao wa mitandaoni wanaoongea na kusikiliza kiingereza hawapigi kura, badala ku deal na vitu vya maana mnawekeza kwenye ishu za kipuuzi Lissu akipata zaidi ya 15% October 28 akatambike.

Huru na haki zikitawala CCM mkifikisha 10% Mungu saidia. Ila kwa sababu tume yenu, polisi wenu, mahakama zenu basi hamna budi kujitangaza. Ila mchukue tahadhari kipindi hiki
 
Vipi mdahalo wa Lissu na Raisi wa Ghana umeisha!?... Nyie jamaa akili zenu mnazijua wenyewe..
 
Magufuli aliingia madarakani 2015 akiwa na vision ya watanzania kulimia meno, si bora huyu anayetuahidi unafuu wa maisha?
Ni namna gani Lissu atakuletea unafuu wa maisha kutokana na mazingira ya Tanzania enlighten us? Kusema rahisi, kutenda vigumu.

Mtu anajiropokea mwanzo mwisho na kuna watu kabisa wana amini he can deliver.

Nyie endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe umati anaokusanya Magufuli barabarani akisimama kusalimia ndio idadi ya watu kwenye viwanja vya vichochoroni anapofanyia mikutano Lissu ionekane kuna nyomi.

Salamu za Lissu atazipata Magufuli akifika Dar nakuhahakishia itakuwa historia ambayo aijawahi tokea.
 
Ni namna gani Lissu atakuletea unafuu wa maisha kutokana na mazingira ya Tanzania enlighten us? Kusema rahisi, kutenda vigumu.

Mtu anajiropokea mwanzo mwisho na kuna watu kabisa wana amini he can deliver.

Nyie endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe umati anaokusanya Magufuli barabarani akisimama kusalimia ndio idadi ya watu kwenye viwanja vya vichochoroni anapofanyia mikutano Lissu ionekane kuna nyomi.

Salamu za Lissu atazipata Magufuli akifika Dar nakuhahakishia itakuwa historia ambayo aijawahi tokea.
Akifika Dar ndo ataboresha maisha ya Watanzania? Akiwa Dodoma juzi si aliwaambia Wagogo msimchague Lissu maana akiwa Rais atarudisha makao makuu ya nchi Dar? Huyo ndo anaipenda Dar?
 
Labda ungesema January Makamba, Zitto Kabwe au Hussein Bashe ndio washiriki wa mjadala contents of the meeting would have been interesting walau hao niliowataja wana vijivision vyao vya topic husika.

Lakini Lissu per se hana lolote analolijua kuhusu social economic development wala maswala ya strategic vision ata kuendeleza familia yake let alone a nation and a continent.

Lissu hana hiyo elimu wala ajajiongeza on that front; anachojua ni kupayuka ovyo tu napata tabu kuelewa wafuasi wa Lissu what do they see in him that a majority of us donโ€™t.
You nailed it, siku zote huwa nasema huyu jamaa siyo mwelevu hata kidogo, nje ya sheria ambako nako ni wa kawaida tu, ni mbumbumbu Kama mbumbumbu wengine!
 
Akifika Dar ndo ataboresha maisha ya Watanzania? Akiwa Dodoma juzi si aliwaambia Wagogo msimchague Lissu maana akiwa Rais atarudisha makao makuu ya nchi Dar? Huyo ndo anaipenda Dar?
Mjomba watu wa Dar awajali sana maneno yanayotoka mdomoni kwa Magufuli, muhimu ni kawafanyia nini.

Achilia mbali miundombinu tu, Dar ni sehemu iliyokua imejaza washamba fulani wanajifanya matapeli sijui watoto wa mjini walizurumu sana ardhi za watu. Chini ya Magu sio unapewa kiwanja chako na nyumba inapigwa chini kama mtu kajenga hivi unajua kafuta machozi ya watu wangapi.

Wapangaji msajili Nehemia alikuwa akiamka tu kodi mpya, chini ya Magu kodi miaka 5 aijapanda.

Ni hivi kila mtu Dar kaguswa kwa namna moja ama nyingine, nyie subirini aje mjionee wenyewe kama nilivyokwambia mtashangaa ni kiwango gani Magufuli Dar anavyokubalika siku akianza campaign zake itakuwa ni historia.
 
Safi sana Rais tunayemtaka lazima awe na uwezo mkubwa kiupeo kuhusu maswala ya kimataifa sasa midahalo kama hii inatoa fursa ya kuona uwezo wake JPM alipaswa na yeye aitumie fursa hii
Uwezo sasa ndio Hana alisukumizwa , Kabudi wake mwenyewe anayemtegemea hakipandi sawasawa , sijui nani atamtafsiria Jiwe huko Lumumba Kawe Alumni , Johnthebabtist au Yehodaya ?
 
You nailed it, siku zote huwa nasema huyu jamaa siyo mwelevu hata kidogo, nje ya sheria ambako nako ni wa kawaida tu, ni mbumbumbu Kama mbumbumbu wengine!
Akili azitoe wapi, wafuasi wa CDM JF ni โ€˜good salesโ€™ people wanaweza shawishi baadhi ya watu kununua saa mbovu mbele ya kadamnasi mkabaki mnajiuliza how is that possible.

Ndio kama wanavyomkuza Lissu mitandaoni.
 
Labda ungesema January Makamba, Zitto Kabwe au Hussein Bashe ndio washiriki wa mjadala contents of the meeting would have been interesting walau hao niliowataja wana vijivision vyao vya topic husika.

Lakini Lissu per se hana lolote analolijua kuhusu social economic development wala maswala ya strategic vision ata kuendeleza familia yake let alone a nation and a continent.

Lissu hana hiyo elimu wala ajajiongeza on that front; anachojua ni kupayuka ovyo tu napata tabu kuelewa wafuasi wa Lissu what do they see in him that a majority of us donโ€™t.
No, ni kinyume chake, we wonder why you donโ€™t see in Lissu what majority of us see! Saa hivi hata vipofu wameona na viziwi wanasikilza, na kuelewa! Umebaki Wewe, Ruttashobolwa, Etwege, na mzee Johnthebaptist, ila huyu tunamsamehe kwa sababu ya kinywaji chake cha rangi ya chama!
 
Angeongea kinyatulu au kinyiramba ningemuona wa maana utumwa wa fikra umemujaa sana
 
Angeongea kinyatulu au kinyiramba ningemuona wa maana utumwa wa fikra umemujaa sana
Naona unakimbia kizungu.
Screenshot_2020-09-25-12-57-57-1.jpg
 
Ndio kusema kitumbua anamcheka andazi?
Nafuu Kitumbua anayefahamu ana mafuta mengi kuliko andazi anayeamini yuko fit. Lugha ya Lissu; anavyopanga maneno ni mpangilio wa kiswahili. Hana msamiati wa maongezi. Anaokoteza bila kujitambua kabisa!!
 
No, ni kinyume chake, we wonder why you donโ€™t see in Lissu what majority of us see! Saa hivi hata vipofu wameona na viziwi wanasikilza, na kuelewa! Umebaki Wewe, Ruttashobolwa, Etwege, na mzee Johnthebaptist, ila huyu tunamsamehe kwa sababu ya kinywaji chake cha rangi ya chama!
Kubali tu, Boss! Mahaba humfanya mtu aone visivyoonekana. Lissu ni empty head! Amini hivyo. Ndo maana ktk majukwaa sasa hana la kusema zidi ya kurekebisha sheria, na hadithi za hiki kimekiukwa, kile nitakizuiya, yule nitamshughulikia, nk. He is a nonstarter!
 
Hivi kweli Lissu anajua kiingereza? Mbona tumeona mara nyingi akiandika hovyo tu. Hana art ya language nadhani ni makuzi na shule alizopitia. Akiandika huwa ni mtu anayepanga kichwani kwa kiswahili na kuandika kwa kiingereza. Hakivutii grammar, hovyo! matamshi hovyo! Sasa eti uยดtunaanza kumpa ubora wa lugha ili awe rais bora, wapi huko?
Upo hatua za mwisho za kufuzu kuwa mchawi kamili
 
Kubali tu, Boss! Mahaba humfanya mtu aone visivyoonekana. Lissu ni empty head! Amini hivyo. Ndo maana ktk majukwaa sasa hana la kusema zidi ya kurekebisha sheria, na hadithi za hiki kimekiukwa, kile nitakizuiya, yule nitamshughulikia, nk. He is a nonstarter!
Huko ccm nasikia yale yake ya miaka mitano, โ€œbarabara kiromita...., Frayover, bwawa la umeme, ndege.... hakuna kipya!
Kwa upande wake, ni kweli Lisu anasema makosa ya awamu hii, kisha anatoa solution, kwamba serikali yake itafanya nini kuboresha!
Pia ukisema Lisu ni empty head ni too extreme, Wewe mwenyewe Kwa hiyo hoja, kuna watu wanaweza kukudharau, lakini haiwezakani ukawa empty head! Akili zimo, tatizo matumizi! Kwa upande wa Lisu, kichwa chake kina uwezo mkubwa, ndo maana siyo wewe tu anakupa headache na stress, hata wakubwa zako wa chama, kawashika pabaya! Mwisho; hata kama Lisu ni chizi, kwa watu โ€œwachacheโ€ anaokusanya kila siku, wacha tu mahaba yaniuwe, mkuu!
 
Back
Top Bottom