kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
CCM ya sasa wepesi mno Humphrey polepole aliyeshindwa u headboy Benjamin mkapa high school ndiyo Think-tank wa chama? hamko serious.Hatuna pumzi ya mitandaoni, tupo field kusett mikakati nyie anzisheni threads weeeee, mkijakujikuta Lissu ana 4% na wabunge watatu ndo mtachoka.
Wewe ndiyo mjibu hoja hamko sawa.