kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
“Msimamo wa Serikali ni kwamba shughuli ziendelee kama kawaida lakini Watu wachukue tahadhari, Wizara ya Afya imeandaa Mdahalo kesho pale Muhimbili wale wote wenye hoja waende wakatoe hoja zao watajibiwa, hoja inajibiwa kwa hoja”
Msemaji Mkuu @MsigwaGerson
My take:
Tusaidieni kuwaambia serikali ijipange, wamepoteana Sana na nadhani hakuna coordination aliyoahidi Katibu Mkuu Wakati anaapishwa. Tunakwenda kukusanya watu hospitalini kufanya mdahalo? Speechless
Msemaji Mkuu @MsigwaGerson
My take:
Tusaidieni kuwaambia serikali ijipange, wamepoteana Sana na nadhani hakuna coordination aliyoahidi Katibu Mkuu Wakati anaapishwa. Tunakwenda kukusanya watu hospitalini kufanya mdahalo? Speechless