Mdahalo Kudai Katiba Mpya unapogeuzwa Ugaidi

Mipango ya Mwendawazimu hii kabla ya kifo kumfyeka. Ilikua lazima Mbowe aangamizwe na CHADEMA ifutwe.
Samia anatekeleza kwa kua anaona kabisa hawezi kushinda uchaguzi 2025.
CCM hali mbaya sana. Wanaponzwa na ULAFI na UFISADI wa madaraka.

Mungu si Athumani.
 
Back
Top Bottom