Mdahalo huru: Team android na Team iphone tukutane hapa

iPhone wengi wanafuata mkumbo tu,eti aonekane yuko juu. Lakini ni simu ambazo sizikubali kabisa. Anayo dogo kuna baadhi ya program anazitamamia kwa mbali tu kwenye simu yangu. Anabaki kuumia sababu ya jina iPhone. Ukija kwenye gharama yake iPhone ni laki 9 alidokoa,mimi yangu ni SAMSUNG C9 PRO original ni milioni 1.3. Hii simu bonge moja la simu,hata nimaliza nayo miaka mitano. Nitadokoa kama hii tena

Sent using Jamii Forums mobile app

Unapotoa ulingano wa bei toa ni iphone gani ndio utuambie sio kusema tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
iPhone wengi wanafuata mkumbo tu,eti aonekane yuko juu. Lakini ni simu ambazo sizikubali kabisa. Anayo dogo kuna baadhi ya program anazitamamia kwa mbali tu kwenye simu yangu. Anabaki kuumia sababu ya jina iPhone. Ukija kwenye gharama yake iPhone ni laki 9 alidokoa,mimi yangu ni SAMSUNG C9 PRO original ni milioni 1.3. Hii simu bonge moja la simu,hata nimaliza nayo miaka mitano. Nitadokoa kama hii tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Asee mkuu naomba kujua ni program gan ambayo we unayo kwenye Samsung alafu imeshindwa kurun kwenye iPhone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijaongelea kwenye uwezo. Nimeongelea dhana ya kwamba mtu anaamini iPhone ndio simu ghali pekee.

Wewe unaweza ukawa unamiliki iPhone macho matatu lakini sio wote.
Nimeona iPhone 6 zinauzwa hadi laki 3 hiyo si bei ya Tecno kabisa?. Kwahiyo mtu kuwa na iPhone haimaanishi ndio simu ya gharama zaidi ya Tecno.
Hata mmiliki wa tecno akiamua kununua iPhone 6 yoyote na iPhone 7 anaweza. Bei ni zile zile.
Hapana mkuu ,hapo naona hujaenda sawa.

Ukisema 300k inauwezo wakununua iPhone sikatai,but swali ni umenunua iPhone toleo lipi,? Kwamaana ile bei ya iPhone 5 ndio bei ya camon12 ambayo ndio new brand kwa Tecno users, Sasa tukisema ununue new brand ya iPhone users (iPhone 12)utakuwa na Tecno ngapiii??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu haya ndo yaliyonifanya niachane na iPhone (IOS) na kurudi kwenye Samsung (ANDROID)

Ukitumiwa wimbo au voice note kupitia app ya WhatsApp wimbo huo au voice note zinabaki mulemule katika conversation na ikitokea ukafuta zile conversation na nyimbo pamoja na voice note vinapotea.

Ukitoka wimbo mpya Kama unataka kuupakua Kuna namna tofauti Kama vile udownload wimbo kupitia PC Kisha udownload iTunes kwenye PC ndo upakue nyimbo Kisha uiingize kwenye simu kupitia itune au udownload special app kwenye simu Kisha udownload wimbo unaoutaka. Lakini wimbo utabaki kulekule kwenye app hutouona wimbo mahala pengine popote.

Kwa wale wapenda photoshoot mapicha ya location umepiga zako picha cameraman kaweka kwenye PC anataka akurushie unaanza ooh! Mie natumia iPhone wewe weka kwako afu unitumie wassap inakua Sasa usumbufu.

Kuna wale wenzangu na Mimi tunapenda kudownload app nyingi nyingi kama vile app za kununua bidhaa au za kutizama nyimbo mpya zinazotrendi Sasa baadhi ya hizo app hazipatikani katika appstore inakua shida.

Matumizi ya Bluetooth pia yamekua Ni changamoto. Bluetooth ya iPhone inakazi moja tu nayo ni ku connect katika device kama vile radio au headphones Ila hutoweza kushare na mwenzako chochote kile.

Kingine app nyingi za kawaida kwamfano Facebook ambayo kwenye Android Ina mb 20 mpaka 25 kwenye iPhone inamb 100 Hadi 500 na bahati mbaya uwe umeweka autoupdate aisee GB 2 zitaisha fesibuku pekee.

Pia ukitaka udownload moja kwa moja nyimbo kupitia iTunes Ni mwendo wa dollar tu.

NB: Sisi wa tandale kwa mtogole unanunua tu ili mtaani wajue Fulani ana iPhone

YANGU NI HAYO TU...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adroid naweza kusema zimetengenezwa kirahisi kwendana na watumiaji wake ndio maana Dunia ya kwanza ukitaja simu fasta ni Iphone kwasababu inaubora wa hali ya juu na isitoshe vitu vyake vingi nivyakununua

Dunia ya kwanza wanatumia mac sana labda ila iphone hawatumii sana ni samsng ndo inatumika sana
 
Boss heshima yako mkuu
Kiukweli nimefungua huu uzi ili nione unavyochambua hizo Limitations za matumizi kati ya Android na iPhone ila umeishia tu kulalama kuwa kuna hizo limitations bila hata kuzitaja!
Ajabu sana!!!!!
sijajua hasa ni Apps gani hizo wewe una uhuru nazo ila iPhone nazikosa!
Boss
Kuna msemo unasema:
KITANDA USICHOKILALIA
NA KUNGUNI WAKE.
Nikushauri tu wewe komaa na hiyo android yako ni nzuri kwako na kwa Matumizi yako pia

NB:
hizi simu haziitwi iphone usiwaharibie jina boss
Bali ni iPhone
hiyo {P}
ni ya herufi kubwa Hahaah
Unajua ni Kwanini????
huwezijua coz wewe ni wa Android


Sent from my iPhone using JamiiForums

IMG_2055.JPG

Natumia simu gani mkuu
 
Tatizo baadhi ya watu wanaamini iPhone ni ghali zaidi kulinganisha na simu nyingine.
Hivo mtu akiwa na iPhone kayapatia maisha.
Hawajui kwamba baadhi ya Galaxy phones na nyinginezo za Android zina gharama kulingana na kuzidi iPhones.
picha linaanzia kwenye bluetooth share, ku download kitu mara weka Apple id aargh! Memory ikijaa hamna extension. Nyimbo ni audiomack au uweke flac files kupitia iTunes software!
 
Kwa mtazamo wangu haya ndo yaliyonifanya niachane na iPhone (IOS) na kurudi kwenye Samsung (ANDROID)

Ukitumiwa wimbo au voice note kupitia app ya WhatsApp wimbo huo au voice note zinabaki mulemule katika conversation na ikitokea ukafuta zile conversation na nyimbo pamoja na voice note vinapotea.

Ukitoka wimbo mpya Kama unataka kuupakua Kuna namna tofauti Kama vile udownload wimbo kupitia PC Kisha udownload iTunes kwenye PC ndo upakue nyimbo Kisha uiingize kwenye simu kupitia itune au udownload special app kwenye simu Kisha udownload wimbo unaoutaka. Lakini wimbo utabaki kulekule kwenye app hutouona wimbo mahala pengine popote.

Kwa wale wapenda photoshoot mapicha ya location umepiga zako picha cameraman kaweka kwenye PC anataka akurushie unaanza ooh! Mie natumia iPhone wewe weka kwako afu unitumie wassap inakua Sasa usumbufu.

Kuna wale wenzangu na Mimi tunapenda kudownload app nyingi nyingi kama vile app za kununua bidhaa au za kutizama nyimbo mpya zinazotrendi Sasa baadhi ya hizo app hazipatikani katika appstore inakua shida.

Matumizi ya Bluetooth pia yamekua Ni changamoto. Bluetooth ya iPhone inakazi moja tu nayo ni ku connect katika device kama vile radio au headphones Ila hutoweza kushare na mwenzako chochote kile.

Kingine app nyingi za kawaida kwamfano Facebook ambayo kwenye Android Ina mb 20 mpaka 25 kwenye iPhone inamb 100 Hadi 500 na bahati mbaya uwe umeweka autoupdate aisee GB 2 zitaisha fesibuku pekee.

Pia ukitaka udownload moja kwa moja nyimbo kupitia iTunes Ni mwendo wa dollar tu.

NB: Sisi wa tandale kwa mtogole unanunua tu ili mtaani wajue Fulani ana iPhone

YANGU NI HAYO TU...

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika vitu ambavyo ni rahisi basi ni kuhamisha picha kutoka kwenye pc kwenda kwenye iPhone. Sijaelewa hata kwann unacomplain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iPhone wengi wanafuata mkumbo tu,eti aonekane yuko juu. Lakini ni simu ambazo sizikubali kabisa. Anayo dogo kuna baadhi ya program anazitamamia kwa mbali tu kwenye simu yangu. Anabaki kuumia sababu ya jina iPhone. Ukija kwenye gharama yake iPhone ni laki 9 alidokoa,mimi yangu ni SAMSUNG C9 PRO original ni milioni 1.3. Hii simu bonge moja la simu,hata nimaliza nayo miaka mitano. Nitadokoa kama hii tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutozikubali iphones kusikufanye uwaone wengine wanafuata mkumbo.

Weka ushamba wako mfukoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujiachia kimatumizi.jua simu saivi ni biashara,inakuwezesha kufanya mambo mengi ya kibiashara.android hata ikiaribika spare utatengeneza,ina apps nying zitakuwwzesha kufanya mambo mengi kuliko iphone.kwenye android unauwezo wa kufanya mambo meng kuliko ukiwa iphone
Nitajie mambomuhimu ya kibiashara unayowezakufanya kwenye android ambayo iphone haifanyi?
Halafu apps nyingi zinaanziaga ios kabla ya kuja android zile apps za maana
 
iPhone wengi wanafuata mkumbo tu,eti aonekane yuko juu. Lakini ni simu ambazo sizikubali kabisa. Anayo dogo kuna baadhi ya program anazitamamia kwa mbali tu kwenye simu yangu. Anabaki kuumia sababu ya jina iPhone. Ukija kwenye gharama yake iPhone ni laki 9 alidokoa,mimi yangu ni SAMSUNG C9 PRO original ni milioni 1.3. Hii simu bonge moja la simu,hata nimaliza nayo miaka mitano. Nitadokoa kama hii tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu fanya kutaja hizo apps zilizoko android haziko ios anazotamanai? C9 pro haipokei official update ya android 10 ishapitwa na wakati tu hiyo
 
Kwanini hadi ninunue hiyo ndio ikae na chaji? Kwanini za chini ya hapo hazikai?

Sent using Jamii Forums mobile app
kukaa na charge unamaanisha kwa siku ngapi? mbona mimi nina ka iphone6 nikitoa kwenye charge asubuhi ikiwa na 100% mpaka nafikia hatua nataka kulala ina 10% and above na ndio maisha yake hayo kila siku. sitegemei kupata smartphone ya kukaa nayo kwenye charge siku mbili.
 
Back
Top Bottom