Mdahalo chuo cha kumb ya mwl nyerere 14/10/2011

mashikolomageni

JF-Expert Member
Jan 5, 2010
1,570
187
Wana JF salam, Katika kuadhimisha kumbukumbu ya kifo ha Baba wa Taifa Mwl Nyerere, kutakuwa na mdahalo kesho tarehe 14/10/2011 kuanzia saa (9:00am) 3:00 asubuhi kwenye ukumbu wa Utamaduni, mada itakuwa; "UONGOZI WETU NA MSTAKABALI WA TANZANIA, NAFASI YA VIJANA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA." Mchokoza mada atakuwa Dr. Azaveli Lweitama mhadhiri mwandamizi kitivo cha Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, watakaopata nafasi mnakaribishwa
[h=6][/h]
 
tunashkru kwa kutukumbushia!!! keep it up, but tuombe mdahalo huo uwe na changamoto za ukweli, na kwa wale ambao mnaishi huko Tanzania ilipokalia ni mda wenu wa kwenda kuwapa changamoto nzito akina Dk Lweitama ili hata wakifa wawe wameacha copy zao!
 
amekuwa akizungumzia tatizo linalo tukabili kwa sasa la uzalendo kwani, umeshuka sana na anasema ujamaa sasa unakuwa kwani ameoa mifano ya Mifuko ya hifadhi za jamii ambayo mtaji wake unatkana na michango ya watu wengi, kuanguka kwa makampuni makubwa na kupewa stimulus package ni mtindo huo huo wa kupewa mtaji na serikali kutokana na kodi ya watu wote
 
msingi wa uzalendo ni kuwa kial kundi katika jamii kuona kuwa linafaidika na mfumo uliopo , ikitokea kundi moja halinufaiki basi uzalendo unakuwa mashakani. Tatizo siyo kuwepo mabepari lakini tatizo ni kuruhusu mabepari hao kuishika dola
 
msingi wa uzalendo ni kuwa kial kundi katika jamii kuona kuwa linafaidika na mfumo uliopo , ikitokea kundi moja halinufaiki basi uzalendo unakuwa mashakani. Tatizo siyo kuwepo mabepari lakini tatizo ni kuruhusu mabepari hao kuishika dola Dr Azaveli anasema vijana tujiangalie tunaweza kupoteza uhuru wa miaka ya sitini au tupate uhuru wa miaka ya hii tujikomboe kwa kufanya mshikamano kati yetu watanzania na hili ni kwa kupunguza gap kati ya wlionacho na wasionacho
 
Back
Top Bottom